Mme Mwenza
JF-Expert Member
- Feb 6, 2025
- 2,747
- 3,949
Wew dada ni muongo, wanawake hata ukiwa na pesa bdo watakuacha tu.
Hamwelewek mnataka nini!
Hamwelewek mnataka nini!
Haha joke on you homie ! 😆Hold on… this was posted by a man?! 😳 I genuinely thought it was a woman. 😂
Msumari ugongeleweSiraha ya kutokuishi Maisha magumu ni kufanya Kazi.
Finally they have admitted.....Sisi tunapenda hela, hatupendi tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenzi nawe kabisa.
Tunapenda hela sasa
Wanawake ambao wanatamani Maisha Mazuri Lakini hawajishuhurishi na chochote (hawafanyi kazi yeyote),What do you mean by poor minded women sir?
We hutamani maisha mazuri ?Wanawake ambao wanatamani Maisha Mazuri Lakini hawajishuhurishi na chochote (hawafanyi kazi yeyote),
Pamoja Wanawake ambao Wapo Tayari kulala na Mwanaume mwingine kwasababu ya Fedha (. Malaya).
I don't think soKwa ujumla wao tunawaita poor minded women.
Tumia tu kiswahili 😆Wewe si uko fluent ndiyo maana huhangaiki! 😂
Ngoja sisi tulioikimbia shule kisa umande tuteseke.
Mtumishi ubarikiwe sana, umeiweka vzr mnoMapenzi yapo tu...
Pesa sio kila kitu....
Ukiona mwanamke anakupenda sbb ya hela tu , basi ujue anajiuza pia...
Coz kiuhalisia wanawamke tulivyoumbwa bila hisia ni ngumu sn kulala na mtu
sawa sawa ,ila utakuta wao wanakuambia wameumbwa kuomba na kupewaNi fikra ya kimasikini kwa sababu inaendeleza mfumodume na fikra kwamba mwanamke ni mtu wa kuhudumiwa tu.
Inawabweteza wanawake, ina wa commoditize na kuwa objectify wanawake.
Inawafanya wawe property, wananunuliwa kwa pesa tu.
Inadumaza human potential ya mwanamke.
hahahahahahaha,wanakasirika kuona hiviWanawake ambao wanatamani Maisha Mazuri Lakini hawajishuhurishi na chochote (hawafanyi kazi yeyote),
Pamoja Wanawake ambao Wapo Tayari kulala na Mwanaume mwingine kwasababu ya Fedha (. Malaya).
Kwa ujumla wao tunawaita poor minded women.
Wewe unakubali kila kitu unachoambiwa?sawa sawa ,ila utakuta wao wanakuambia wameumbwa kuomba na kupewa
mie sikubali kabisa hizo mamboWewe unakubali kila kitu unachoambiwa?
Sawa.Tumia tu kiswahili 😆