Wanawake hatari wakuoa!

Wanawake hatari wakuoa!

Mtoa mada....wewe ni mchokozi ......sasa tuoe maza hausi? Aliwazalo mjinga ndilo humkuta ..
Lazima upate ugumu kuchukua maamuzi hapa maana ukweli mchungu. Na mkeo yupo kwenye hayo makundi hapo.
 
kwani wewe ulishawahi kuwa nao wote hao hata kujua tabia zao? au hisia tu
 
Wasanii (Mf Wanamuziki, waigizaji, dancer n.k)

Wanasiasa (Vikao, safari za nje na ndani ya nchi hapa lazima utamu utoke tuu).

Wafanya biashara za kusafiri hapa na pale.

Madaktari/Manesi (Wao hutumia muda mwingi kuhudumia wagonjwa na semina huko lazima wakung'utwe tuu).

Msanii (Huyu atakutana na kila aina ya kiumbe akiwazacho).

Mwanachuo au Lecturer wa chuo chochote (Huku ataona kila aina ya kiumbe akiwazacho na kikifika kwenye himaya yake lazima akinase tuu)

Wanajeshi (Kuhama hama lazima atabadilisha tuuu)

Bar maids (Huku atapata kishawishi tuu pale atakapoona watu wanatumbua raha)

Rubani, dereva (Hakuna asiejua kama kusafiri ni raha)

Wahudumu (Hakuna asiejua kuwa huduma nzuri huleta urafiki, mtu akikupa huduma nzuri mfano chakula kwa wale mama ntilie lazima urudi tena hapo urafiki huanza na urafiki kati ya mwanamke na mwanaume ni NGONO, wahududu wa watalii, vituo vya ndege, benk n.k huko kuna madudu mengu)

USHAURI WANGU TAFUTA MWANAMKE AMBAE UNAJUA HAKUTANI NA WATU WENGI MAENEO YA KAZINI AU ANAFAHAMIANA NA WATU WENGI. TAFUTA MWANAMKE AMBAE HAFANYI KAZI ZA KUTISHA KAMA MADOKTA AU MANESI AMBAO USIKU, MCHANA N.K NI MIDA YAO YA KAZI.

Tafuta mwanamke ambae unajua mda wote utakua nae hata maeneo ya kazi yawe kaibu. Umbali ni chanzo cha usaliti, hakika nawaambieni hakuna wapenzi wanaokaa mbali wasisalitiane huo ni uongo mkubwa!

Hakikisha kuna mawasiliano mazuri, amani na hamu ya tendo kati yenu. Tofauti na hapo kuna jambo.

Raha ya mwanamke wa karibu hata akikusaliti utajua tuu maana dunia haina siri, lazima taarifa utazipata tuu hata afanye kwa siri namna gani lazima watu wa karibu watafahamu.

Umbali na kutokua na muda wa kutosha ni sababu kubwa ya wapenzi kusalitiana.
Pia nature ya mtu hata mkae 0 distsnce kama ni mtu wa kutoa atatoa tuu.
Mkuu sasa mpaka hapo si huyo mwenzi wako atakuwa mama ama baba wa nyumbani tu. Kama ni mwanamke ukumbuke huwa anaenda sokoni pia
 
Bora hao wengine ila ma bar maid ndio hawafai. Take Note Utalia

57d091251fafd69ca99b82de0cf73ee1.jpg



57d091251fafd69ca99b82de0cf73ee1.jpg
 
kwani wewe ulishawahi kuwa nao wote hao hata kujua tabia zao? au hisia tu
Sio hisia hapa ni kwa mujibu wa tafiti zangu nilizofanya na ninazoendelea kufanya! upo ndugu? najua mkeo yupo kwenye hilo kundi hapo juu.
 
Wasanii (Mf Wanamuziki, waigizaji, dancer n.k)

Wanasiasa (Vikao, safari za nje na ndani ya nchi hapa lazima utamu utoke tuu).

Wafanya biashara za kusafiri hapa na pale.

Madaktari/Manesi (Wao hutumia muda mwingi kuhudumia wagonjwa na semina huko lazima wakung'utwe tuu).

Msanii (Huyu atakutana na kila aina ya kiumbe akiwazacho).

Mwanachuo au Lecturer wa chuo chochote (Huku ataona kila aina ya kiumbe akiwazacho na kikifika kwenye himaya yake lazima akinase tuu)

Wanajeshi (Kuhama hama lazima atabadilisha tuuu)

Bar maids (Huku atapata kishawishi tuu pale atakapoona watu wanatumbua raha)

Rubani, dereva (Hakuna asiejua kama kusafiri ni raha)

Wahudumu (Hakuna asiejua kuwa huduma nzuri huleta urafiki, mtu akikupa huduma nzuri mfano chakula kwa wale mama ntilie lazima urudi tena hapo urafiki huanza na urafiki kati ya mwanamke na mwanaume ni NGONO, wahududu wa watalii, vituo vya ndege, benk n.k huko kuna madudu mengu)

USHAURI WANGU TAFUTA MWANAMKE AMBAE UNAJUA HAKUTANI NA WATU WENGI MAENEO YA KAZINI AU ANAFAHAMIANA NA WATU WENGI. TAFUTA MWANAMKE AMBAE HAFANYI KAZI ZA KUTISHA KAMA MADOKTA AU MANESI AMBAO USIKU, MCHANA N.K NI MIDA YAO YA KAZI.

Tafuta mwanamke ambae unajua mda wote utakua nae hata maeneo ya kazi yawe kaibu. Umbali ni chanzo cha usaliti, hakika nawaambieni hakuna wapenzi wanaokaa mbali wasisalitiane huo ni uongo mkubwa!

Hakikisha kuna mawasiliano mazuri, amani na hamu ya tendo kati yenu. Tofauti na hapo kuna jambo.

Raha ya mwanamke wa karibu hata akikusaliti utajua tuu maana dunia haina siri, lazima taarifa utazipata tuu hata afanye kwa siri namna gani lazima watu wa karibu watafahamu.

Umbali na kutokua na muda wa kutosha ni sababu kubwa ya wapenzi kusalitiana.
Pia nature ya mtu hata mkae 0 distsnce kama ni mtu wa kutoa atatoa tuu.
Duh! Hatari
 
Inawezekana ikawa kweli lkn kumbuka kama mwanamke uliyenae anatabia hizo hata kama atakaa nyumbani asiende semina au kazini basi kuna mtaani wanaume watamtafuna tu... Mtu mzima hachungwi. Ndio maana tukashauriwa kabla ya kuoa tuangalie tabia ya unayetaka kumuoa.
 
Back
Top Bottom