BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,109
Inawezekana, ila silaha kubwa ni kujiamini kwanza.
Kwani kujiamini kwako kunahusiana nn wa watu kukugedea!!
Inawezekana, ila silaha kubwa ni kujiamini kwanza.
Kama unaona!!! Ila hata haujaona basi ushaanza kupanik kisa fulani alisema wanawake walimu hawafai kuoa!!! Seriously!!!Ha ha ha amna aisee, ni mtazamo tu maana mtu anakwambia jiamini bhana wakati unaona kabisa there is something fishy going on
Basi sawa.Aah wapi yani, nazungumzia from personal perspective tu.