Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 505
- 830
Habari zenu wandugu..
Nimependa nilete hii mada. Hivi ni kwanini wanawake wanashindwa kumudu mafanikio hasa wa miaka hii ya utandawazi.
Mfano wa kweli kuna watu wengi nawafahamu wanawake zao baada ya kufanikiwa wakavunja mahusiano.. Pia hata Mimi ishawahi nitokea kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano.
Wote tulikua tuna "haso" mwenzangu bana Mungu akamnyooshea kwa kiasi akatoboa kiaina. Eeh! Nilijuta kila mara nategwa nikosee tu iwe sababu niachwe nikashtukia nikawa najitahidi kukwepa. Hahaha akaona chuma akitegwi ikabidi anichane live tu nikae mbali nae.
Basi nikawa mpole nikakubali. Lakini miaka imepita akayumba simu zikaanza na akaniomba sana msamaha. Nikakubali lakini nikawa naishi naye kwa machale.
Mungu akampa tena heeeeh! Kama kawaida kanitafutia sababu kanipiga tofali sehemu zote ili nisimtafute.
Sasa najiuliza hawa wenzetu vipi? Afu eti haki sawa.. Ndio IPO hivyo kweli?
Nimependa nilete hii mada. Hivi ni kwanini wanawake wanashindwa kumudu mafanikio hasa wa miaka hii ya utandawazi.
Mfano wa kweli kuna watu wengi nawafahamu wanawake zao baada ya kufanikiwa wakavunja mahusiano.. Pia hata Mimi ishawahi nitokea kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano.
Wote tulikua tuna "haso" mwenzangu bana Mungu akamnyooshea kwa kiasi akatoboa kiaina. Eeh! Nilijuta kila mara nategwa nikosee tu iwe sababu niachwe nikashtukia nikawa najitahidi kukwepa. Hahaha akaona chuma akitegwi ikabidi anichane live tu nikae mbali nae.
Basi nikawa mpole nikakubali. Lakini miaka imepita akayumba simu zikaanza na akaniomba sana msamaha. Nikakubali lakini nikawa naishi naye kwa machale.
Mungu akampa tena heeeeh! Kama kawaida kanitafutia sababu kanipiga tofali sehemu zote ili nisimtafute.
Sasa najiuliza hawa wenzetu vipi? Afu eti haki sawa.. Ndio IPO hivyo kweli?