Wapi wataweza?.... ngono ni inherent need ya binadmu.Ifike mahali mnaosema wanawake hawana chaku-offer, hawana jipya, wako overrated, mmetuchoka etc. Etc. mliwazane wenyewe kwa wenyewe! Ama mtafute dunia yenu mkajifiche huko mtuache tupumue kidogo na hawa wanaotuelewa.
Asanteni sana!