OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Jimbo la Arumeru mashariki lilikuwa takribani miaka 50 halina mbunge, kuna matatizo mengi ambayo bwana Nassary anahitaji muda kuya adress yote ila kwa maoni yangu ameanza vizuri kero ya maji almost inatatuka, ushuru wa kiuonevu umeondoka, shule madawati yanawekwa kwa fujo barabara korofi angalau zinajazwa vifusi sasa wanaolia kwa nn wasingelia miaka 50 iliypita wakati jimbo halina mbunge? Tuacheni unafiki na ushabiki hizi pilao za bure zisituharibie jimbo, kamanda nassary songa mbele tunakupa support kubwa!!