Fine Wine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 595
- 1,691
Wanawake punguzeni roho mbaya na kijicho husda, unakuta mkaka kamuelewa rafiki yako anaomba contanct zake unaanza uchawi wako. Mwenzio pisi kali mkaka anataka kujiweka.
Wewe sasa na bichwa lako kama treni la Mwakyembe unaanza “Ooh! yule humuwezi!” Umeambiwa ananibeba mgongoni? Wewe mpe namba tutajuana huko huko km tutawezana.
Muda mwingine anafika mbali anaanza kutoa story ya familia ya rafiki yake kama anatoa documentary ya kaya maskini. Hahahaa!
“Nikwambie, kwanza yule kwao mama yake kazaa kila mtu na baba yake.” Hata yule rafiki yangu pale alipo hamjui baba yake. Na yeye mwenyewe atamrithi mama yake mana ana mabwana wengi! Umeulizwa?
Sasa si ndio umpe namba nipate baba wa kunilea mxiewww!!
Acheni kubania wenzenu ridhiki VIBUNGO nyie.
Wewe sasa na bichwa lako kama treni la Mwakyembe unaanza “Ooh! yule humuwezi!” Umeambiwa ananibeba mgongoni? Wewe mpe namba tutajuana huko huko km tutawezana.
Muda mwingine anafika mbali anaanza kutoa story ya familia ya rafiki yake kama anatoa documentary ya kaya maskini. Hahahaa!
“Nikwambie, kwanza yule kwao mama yake kazaa kila mtu na baba yake.” Hata yule rafiki yangu pale alipo hamjui baba yake. Na yeye mwenyewe atamrithi mama yake mana ana mabwana wengi! Umeulizwa?
Sasa si ndio umpe namba nipate baba wa kunilea mxiewww!!
Acheni kubania wenzenu ridhiki VIBUNGO nyie.