Wanawake acheni njaa, badilikeni!

Wanawake acheni njaa, badilikeni!

gif money gold digger
 
Kuna dada mmoja tunaishi nae mtaa mmoja kiasi kwamba kutoka anapokaa yeye na mimi ni mwendo wa kama dk 5 hivi. Cha ajabu nimemwalika kwangu akaniambia tuma nauli, nikamuuliza unajua unawasiliana na nani akasema ndio.

Nikamuuliza nauli ya nini sasa akashindwa cha kujibu akajionea aibu mwenyewe. Nikamwambia mimi mwanamke ambae hana nauli huwa simtaki nikamblock.

Huwa nakerekaga sana na hako kaneno, wanawake badilikeni
najikuta naandika nafuta aaaagrrrrrrriii
 
Kuna dada mmoja tunaishi nae mtaa mmoja kiasi kwamba kutoka anapokaa yeye na mimi ni mwendo wa kama dk 5 hivi. Cha ajabu nimemwalika kwangu akaniambia tuma nauli, nikamuuliza unajua unawasiliana na nani akasema ndio.

Nikamuuliza nauli ya nini sasa akashindwa cha kujibu akajionea aibu mwenyewe. Nikamwambia mimi mwanamke ambae hana nauli huwa simtaki nikamblock.

Huwa nakerekaga sana na hako kaneno, wanawake badilikeni

Kuna jambo halipo sawa hapa,,, baharia rudi shule ya gheto upigwe msasa kabla ya kuingia mbugani mana utaliwa na dubu
 
Hapana aisee... Kwa hili umezingua.
Ulikuwa ummle huyo.
 
Back
Top Bottom