Imani yangu hainiruhusu sio tu kuvaa mawig bali hata kutembea kichwa wazi,
Sasa fanya hivi ukimuona mwanamke mwenye wig usimsalimie hata akiwa nduguyo, kuonesha msimamo wako.
Upo vizuri dada wa kinyaturu
Washauri hawa wenzako kuwa inabidi ifike mda maamuzi magumu yafanyike kwa faida yao, inawezekana ni pepo kama ulivyosema
Kama tu unataka ununiwe na papuchi ubaniweTip of the Day:
Wanaume wanaowanunulia wanawake Fake Hair huku wao hawapendezwi wala kuvutiwa nazo, ni jambo la busara na hekima WAKISITISHA huduma hiyo ili kupata nafasi ya kufurahia mvuto wa asili wa nywele za wanawake
Teh teh teh [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Labda kama mimi ni Dr Slaa halafu mpenzi wangu ni Josephine, akibana papuchi yake atanishawishi kwenda kwa mchepuko kusuuza
Huo ni uongo mtupu hawawezi kufanya hivyo wanaanzia wapi kwa mfanoNilisikia wizara ya afya inataka kupiga marufuku Fake hair kuuzwa madukani, sijui ni kweli
Nilisikia wizara ya afya inataka kupiga marufuku Fake hair kuuzwa madukani, sijui ni kweli
Huo ni uongo mtupu hawawezi kufanya hivyo wanaanzia wapi kwa mfano
Yaani nimtose mtoto kama huyu kwasababu kavaa wig sijui weaves??!! Msinitanie nyie vijana....
Wewe binti mzuri hivyo wa kichaga kwanini unakuaga mkali hivyo?
Yaani nimtose mtoto kama huyu kwasababu kavaa wig sijui weaves??!! Msinitanie nyie vijana....