Wanawake acheni kuvaa mawigi

Heaven Sent akiongea nyakoo anaambiwa hayamuhusu na anatumia lugha mbaya sijui, kweli nimeamini kunya anye sonko akinya nyakoo kaharisha.

Ngoja nione kama baada ya huu uzi maweavs yataisha

Hivi unafikiri haya madongo ya weaves or magutambi yatabadili mtu? Kila mtu ana uhuru wa kuishi atakavyo as long as havunji sheria ya nchi. Tupigeni tu story hapa tuenjoy maisha. Ila j2 ya leo nimecheka mnooo
 
Last edited by a moderator:
Hivi unafikiri haya madongo ya weaves or magutambi yatabadili mtu? Kila mtu ana uhuru wa kuishi atakavyo as long as havunji sheria ya nchi. Tupigeni tu story hapa tuenjoy maisha. Ila j2 ya leo nimecheka mnooo

Yaani baada ya ile ya vitambi nikajua tu kifuatacho itv
 
japo sijawahi vaa wigi ila je kusuka rasta za kawaida ni vizuri?? tupeni maujanja
 
Ndivyo unavyohisi eti? Haya hisia njema.

Kuna Team Mawigi wale sugu, vichwa vibaya, wanaoiga, wanaoumwa (wachache), wanaoamini wanavutia, nywele fupi n.k

Inategemea unapatikana kundi gani, sio wote itawachukua mda mrefu kufanya maamuzi
 

Mwanamke ni pambo la dunia.
 
Unaweza kuthibitisha utafiti wangu hata kupitia hii thread

Acheni kutafuta kuwa wazungu au wahindi. Mnavutia zaidi mkiwa na nywele zenu hizo hizo. Cha msingi ni kujiamini tu.

niliungua kichwa sina nywele unataka nivae nini?
 
sasa mkuu unakuta mtu ana kichwa kama jiwe lakusugulia miguu afu nywele kipilipili zile nyekundu kama mshabiki wa simba unataka afanyaje ili kuziba hiyo ambayo kwake anaona aibu na anataka kwenda na wakat....
Eti jiwe la kusugulia mguu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…