Wanawake 50% kwa 50% tumedandia trneni kwa mbele, tujipange upya..

mwanamke anachangia pato kubwa katika familia kuliko mwanamme. Hivi ulishajiuliza valuation ya unpaid duties inafanyikaje?
Kusafisha ndani, kupika, kulea watoto, kuwanyonyesha, kubeba mimba ndani ya tumbo lake, kulea mume n.k. Hivi vyote vikiwekwa kwenye monetary value unadhani itafikia vijichenji vyako unavyoleta nyumbani?
 
mwanamke anachangia pato kubwa katika familia kuliko mwanamme. Hivi ulishajiuliza valuation ya unpaid duties inafanyikaje?Kusafisha ndani, kupika, kulea watoto, kuwanyonyesha, kubeba mimba ndani ya tumbo lake, kulea mume n.k. Hivi vyote vikiwekwa kwenye monetary value unadhani itafikia vijichenji vyako unavyoleta nyumbani?
eti wanataka tuchangie na mifuko ya cemeny na malori ya mchanga na bati hii ni haki kweli?
 
Wakati wao ndo waliambiwa watakula kwa jasho,sisi tutazaa kwa uchungu,XY not=XX
eti na bado wanataka heshima ukitaka kujua heshima ya mtu ipo wapi wewe mjali sasa kama mwanamke unacontribute kila kitu ndani kila kitu upo heshima itakuwepo jamani?
 
Mi hata sielewi, haya mambo ya ndoa hayana fomula.
Wanandoa watakavyoamua kuyapeleka ndo ivo ivo, hakuna kuiga
Wanawake wengine wanapenda mabushoke, wengine wanapenda machomen, wengine twapenda wavuta ganja
Wanaume wengine wanapenda wanawake wenye mihela imejaa kwenye kiroba, wengine wanapenda pika pakua.

Huu mziki ni kucheza upendavyo.

50/50 sio mbaya kama mwanamke anayepewa madaraka ana uwezo wa kuimudu hiyo nafasi hata kama ni ndani ya familia plus katika kazi, tatizo huanza kama vigezo na masharti ya nafasi hiyo vilizingatiwa, unakuta kabobosukari kamepewa kitengo nyeti kisa shadow au lipstik yake nzuri.

It is what it is.....
 
wanawake tumekuwa ktk mstari wa mbele kudai HAKI na FURSA SAWA kwa wote (50% kwa 50%) mbona majukumu ya familia tunayakwepa??? tena na majina kibao ya kuwadhalilisha wenzi wetu, (sharobaro, mwanaume suruali, nk) tutaongozaje jamii na taifa kama hatuwezi kuongoza familia zetu?

Namaanisha matumizi ya nyumbani huku tunajitetea mwanamke tumeubwa kulelewa!!

Huku tunasema mfumo dume unatukandamiza tunataka viti maalum, na nafasi kibao za uongozi kwenye jamii....nyumbani kuwajibika hatutaki, tunamwachia mume majukumu yote! bora mwanamke ambae hana hela, naongea na sisi wenye vijisenti...TUTAFIKA?

MIAKA 50 YA UHURU??

Then how do you determine 'haki sawa kwa wote'?? This question has made me strongly disagree with your explanations!!!
 
Kweli kabisa. Wanawake wengi pesa zao zao kwa matumizi binafsi ila za wanaume wao ndio za kuhudumia familia.
 
Back
Top Bottom