Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 49
Kuna hili sakata la wanavyuo kushindwa kupiga kura kutokana na vyuo kuchelewa kufunguliwa, mpaka sasa sijapata habari zaidi ya ile walipokwenda kwa waziri mkuu, je kuna kinachoendelea? na kama ikishindikana itakuwaje?, je suala hili kuna mkono wa siasa au ni bahati mbaya?