Maana yangu ni kwamba nikiweka hela kwenye wallet nagawa kutokana na matumizi ya siku hapo nauli msosi 'kilinda mfuko' na hela ya akiba lkn kama sina wallet ntazigroup vipi?
Hivi miamvumu huwaga na nini??😃😅,.
Nishapoteza karibia mwamvuli wa kila mtu nyumbani hadi saizi hawaniazimi hata kuwe na mvua kubwa kiasi gani,. Kosa ni kutulia tu mahali baasi nauacha hapohapo