Umefurahi?ok.....
Ukiniruhusu ntakufurahisha.bado,
wataka kunifurahisha?
Kwa nanilino nayo nene..? Kama nanilino ni nyembamba mbona poa tu...Ndo nshazaliwa kama hunipendi na unene wangu katafute wembamba
Ukiniruhusu ntakufurahisha.
Na mimi naomba..nimekuruhusu......
Vipi wewe, mnene au mwembamba...?Jivunie ulivyo dada, ila hakikisha unakula vyakula vyenye afya na mazoezi ufanye kwa faida yako. Unene mwingine ni mateso na muelekeo wa mateso ya muda mrefu.... na si suala la mtazamo wa wanaume.
Unaomba nini?Na mimi naomba..
Unaomba nini?
Kama ana huo uwezo ruksa!kumfurahisha the boss.