cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,653
Sijaelewa comment yako. Hujaona hao nimewatoa mkuu naongelea the restBabako na ****** ni jinsia gani?
Sijaelewa comment yako. Hujaona hao nimewatoa mkuu naongelea the restBabako na ****** ni jinsia gani?
Pole hyo hali huuma sana ndo umeshajifunza next time usimpende mwanaume, the more unampenda ndo chance yakuumia ni kubwa sana. Mi nilishaapa nampenda babangu na kaka zangu basi the rest ya wanaume ni zaidi ya ma dog aisee
Kwenye vitabu vya MAPOKEO mwanamke kapewa wajibu na mwanaume kapewa wajibu,"Enyi wake WATIINI waume zenu, enyi waume wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa lake hadi akajitoa asulubiwe."Pole hyo hali huuma sana ndo umeshajifunza next time usimpende mwanaume, the more unampenda ndo chance yakuumia ni kubwa sana. Mi nilishaapa nampenda babangu na kaka zangu basi the rest ya wanaume ni zaidi ya ma dog aisee
Ndo maana mi sipendi mwanaume nataka nimtii na nimweshimu maandiko yalikuwa sahihi kabisa sisi hupenda kwa hisia panda shuka. Sasa tukikwama ndo mapenzi kwishney ila mwanaume akimpenda mwanamke mapenzi yanadumu daimaKwenye vitabu vya MAPOKEO mwanamke kapewa wajibu na mwanaume kapewa wajibu,"Enyi wake WATIINI waume zenu, enyi waume wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa lake hadi akajitoa asulubiwe."
Wanaume wengi wenye matatizo kwenye mahusiano hulalamika hawaheshimiwi. Hakuna anaesema sipendwi, wanajua wajibu wa mke sio kupenda bali KUTII. Kina mama wengi wenye matatizo kwenye mahusiano hulalama kama sio kulalamika kuwa waume zao hawawapendi. Wanasema hivyo kwa kutambua bayana ni wajibu wa kina baba kupenda.
Naamanisha kaka wa damu sio hao wengine huko wapita njiaWewe kiboko, lakini ukiondoa baba yako wanaume wote tuliobaki ni kaka zako, sasa hao ma dog watoka wapi tena Mkuu@Cariha ?
Nahisi bado wapo. Kikubwa unapofanya maamuzi usiruhusu hisia zikutawale au ziwe sehemu ya maamuzi katka mambo ya msingiSitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.
Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
Duuuuu pole kumbe bado unateseka, Pole sana Mery,Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.
Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
Juzi juzi tu umeleta uzi hata wiki haijaisha ukaombwa waje inbox tayari ishatendwa mara hii? Uliweka vigezo kwanza ulitakiwa ulete mrejesho kuwa usajili ushakamilika. Nina wasiwasi na hija zako!!Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.
Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
Km na ww ulivyo mmoja wa wale wanawake wanaocheza na hisia za wanaume pasipo hata kujua....Nakubaliana na wewe hao wachache ni exceptional kabisa ila majority ni wale wale
Tupo sana. Hujatujua tu kwa vile hujataka kitujuaSitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.
Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
Na hili neno wanalosemaga ndo wanafanya tuwe sawa kweli maana unakuta kaumizwa huko mwanaume unajitupa kumpoza kumbe yy analipa kisasi kwako wanasahau wakati mwanamke jua linazama mwanaume ndo kwanza kunakuchasio kwel...wanaume wato hatupo sawa..usiseme ivo
miss natafuta nakuandikia sms pm imegomaAmekufanyeje?
Hahaaaa eti as long as wananigegeda sasa hyo si case nyingine kabisa.
Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.
Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
