Wanaume wotee sawa tu

Wanaume wotee sawa tu

Pole hyo hali huuma sana ndo umeshajifunza next time usimpende mwanaume, the more unampenda ndo chance yakuumia ni kubwa sana. Mi nilishaapa nampenda babangu na kaka zangu basi the rest ya wanaume ni zaidi ya ma dog aisee
we mpotoshe tu mwenzio baba ni baba kaka ni kaka na mume ni mune kamwe hawawezi fanana wala linganishwa kwa namna yeyote na uwezi nidanganya hata kwa punje et huwezi penda mwingine sababu flani halikuumiza love is driven involuntary
 
we mpotoshe tu mwenzio baba ni baba kaka ni kaka na mume ni mune kamwe hawawezi fanana wala linganishwa kwa namna yeyote na uwezi nidanganya hata kwa punje et huwezi penda mwingine sababu flani halikuumiza love is driven involuntary
Hata simdaganyi nanwambia ukweli akijifanya kupenda anajidhuru nafsi yake mwenyewe tu huyo. Mume sio kitu chakuhesabia mumekutana wote ukubwani, baba au kaka hawezi kukuumiza huo ndo ukweli
 
Pole mwaya sasa utaishije ukiwa na hamu achana na dyudyu bwana we tatizo unampenda kwa moyo wako wote hao viumbe ishi nao kwa akili
 
Hata simdaganyi nanwambia ukweli akijifanya kupenda anajidhuru nafsi yake mwenyewe tu huyo. Mume sio kitu chakuhesabia mumekutana wote ukubwani, baba au kaka hawezi kukuumiza huo ndo ukweli
hongera kwa baba yako na kaka zako wasio kuumiza ila tambua tu kuna wanawake kimbilio na faraja ya maisha yao ni kwa waume zao na si ndugu wala wazazi sometimes hao huumiza zaidi na kukatisha tamaa zaidi tofauti na waume zao kwa hio isiwe sababu kuwa wewe unaishi hivo na mwingine aishi hivyo
 
hongera kwa baba yako na kaka zako wasio kuumiza ila tambua tu kuna wanawake kimbilio na faraja ya maisha yao na kwa waume zao na si ndugu wala wazazi sometimes hao huumiza zaidi na kukatisha tamaa zaidi tofauti na waume zao kwa hio isiwe sababu kuwa wewe unaishi hivo na mwingine aishi hivyo
Nakubaliana na wewe hao wachache ni exceptional kabisa ila majority ni wale wale
 
Wauza sura hao na ma powder boys, wale mnaowaita ma handsome ndo zao hizo. Msitujumuishe na sie
 
Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.

Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
Pole mkuu. Kaza moyo relax na karbu tujumuike jogging utasahau mambo ya ovyoovyo
 
Mi nilibadirika na kufanana na everybody baada ya kuwa frustrated na mwanamke. Sipendi maisha nayoishi kwa sasa lakini sioni fursa ya kubadirika, wanawake wote ni sawa tu.
 
Itakua poa ukijipenda mwenyeo na ufe na utamu wako kma kifundo cha mua.
 
Back
Top Bottom