Wanaume wotee sawa tu

Wanaume wotee sawa tu

Wapo mdogo wangi.... Tena wanapenda kweli kweli. Wanaume wanaojua kupenda kweli kweli bado wapo.

Comment yako tamu kama jina lako Msweet , wapo tena wapo wamejaa tele na hata yeye ipo siku atashuhudia hilo
 
sis wanaume tukipata mambo tu upendo unaishia hapo sasa unataka niendelee kukupenda ili iweje
 
ndio, wanaume wote yupo sawa tu.
kama sio tangazo, basi the day will come, you will acknowledge the love and care which only a man can give
 
Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.

Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
we sema unataka mwanaume wa kukugegeda kwa sasa huna, unazunguka zungunga nn? kwann ww hujawah umiza mwanaume?
 
Ulipenda ambaye sio size yako! Siri ya kudumu kwenye mapenzi chagua anayekupenda halafu wewe sio unampenda kiiiivyo! Kisha ridhika naye!
Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.

Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
 
Pole hyo hali huuma sana ndo umeshajifunza next time usimpende mwanaume, the more unampenda ndo chance yakuumia ni kubwa sana. Mi nilishaapa nampenda babangu na kaka zangu basi the rest ya wanaume ni zaidi ya ma dog aisee

So u fukcing dogs?
 
Pole hyo hali huuma sana ndo umeshajifunza next time usimpende mwanaume, the more unampenda ndo chance yakuumia ni kubwa sana. Mi nilishaapa nampenda babangu na kaka zangu basi the rest ya wanaume ni zaidi ya ma dog aisee
baba yako na kaka zako watakuoa?
 
Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.

Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
Jiulize kwanini kila mwanaume anakuumiza,unaweza kuta Labda kwa kila mwanaume unayekuwa naye tabia zako zinakuwa zile zile hubadiriki ndio maana unAishia kuumia,jitafakari wewe kwanza kabla ya kutafakari wanaume uliokutana nao,na unaposema wanaume wote ni sawa unadanganya,mbona mimi sijawahi kuwa mpenzi wako,unaposema wote ni sawa inamaana umeshatembea mpaka na kaka zako baba zako wajomba zako na ndugu zako wote wa kiume,acha kutukosea heshima,usipobadirika utamegwa,utaachwa utanung'unika,alafu utakufa!!
 
Jiulize kwanini kila mwanaume anakuumiza,unaweza kuta Labda kwa kila mwanaume unayekuwa naye tabia zako zinakuwa zile zile hubadiriki ndio maana unAishia kuumia,jitafakari wewe kwanza kabla ya kutafakari wanaume uliokutana nao,na unaposema wanaume wote ni sawa unadanganya,mbona mimi sijawahi kuwa mpenzi wako,unaposema wote ni sawa inamaana umeshatembea mpaka na kaka zako baba zako wajomba zako na ndugu zako wote wa kiume,acha kutukosea heshima,usipobadirika utamegwa,utaachwa utanung'unika,alafu utakufa!!

Na kweli atakufa
 
Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.

Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
TUPOO...AAAH NIPOOO ila tatizo siwezi mpenda mwanamke mmoja tu..ntawpenda zaidi ya mmoja ila napenda najali na kuhudumia kweli. ILA KAMA NI KUKUPENDA UKWELI HAUTAKUWA PEKE YAKO SO KAMA HILO NDIO HULITAKI BASI POLE..WANAUME TUNA MAMBO YA KIUME TU HATUWEZI KWENDA AGAINST
 
Hiyo paragraph ya mwisho umeuliza au umejisemea tu?
 
Back
Top Bottom