Mm naamini kwamba kila mwanamke maishani lazima ukutane na mwanaume sahihi kwake kwa kilakitu tatizo wadada wengi wanafanya mambo kwa kukalili sisi wanaume tunabadilika kutokana na vipindi tulivyo navyo.....
Dada mwenye miaka 22-25 anaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanaume miaka 40 mtu ambae kwa kiasi kikubwa kajijenga kiuchumi ana mambo yake mengi mazuri na anafamilia yake
Sasa huyu dada ikifika kipindi anataka kuolewa hawezi kuolewa na yule mwanaume kwasababu tayari anafamilia na huyu dada itabidi atafute was kwake ambaye kwa makadirio atakua na umri wa miaka 28+ ........
Sasa mahusiano yakianza huyu mwanamke anataka ahudumiwe kama alivyo kua akihudumiwa na yule mpenzi wake wa awali kitu ambacho huyu wa miaka 28 hajazoea kwanza bado hata kiuchumi hajajijenga ippasavyo japo ni kweli anampenda mwanamke lkn anahitaji muda zaidi ili ajennge kwanza maisha
Hapo ndipo wanawake mnafeli msipende kulinganisha japo sio wote