Wanaume wotee sawa tu

Wanaume wotee sawa tu

Wee sema tuu hujakutana na mimi usingesema hivyo
Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.

Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
 
Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.

Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli

Mapenzi bila "uchumi mzuri" ni kujidanganya tu!!!
 
Pole hyo hali huuma sana ndo umeshajifunza next time usimpende mwanaume, the more unampenda ndo chance yakuumia ni kubwa sana. Mi nilishaapa nampenda babangu na kaka zangu basi the rest ya wanaume ni zaidi ya ma dog aisee

Dah, kweli umetuchoka aisee...
 
Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.

Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli

Mapenzi bila "uchumi mzuri" ni kujidanganya tu!!!
 
Wanaume wote hawawezi kuwa sawa bwana. Kuna mandingo kuna vibamia, kuna watoaji kuna marioo, kuna wafupi kuna warefu, weupe Na weusi, wasiojiamini Na wanaojiamini, waliotulia Na wasiotulia
Mimi niko group gani vile nikumbushe..!
 
Pole hyo hali huuma sana ndo umeshajifunza next time usimpende mwanaume, the more unampenda ndo chance yakuumia ni kubwa sana. Mi nilishaapa nampenda babangu na kaka zangu basi the rest ya wanaume ni zaidi ya ma dog aisee
Hata mimi we mrembo?
 
Pole hyo hali huuma sana ndo umeshajifunza next time usimpende mwanaume, the more unampenda ndo chance yakuumia ni kubwa sana. Mi nilishaapa nampenda babangu na kaka zangu basi the rest ya wanaume ni zaidi ya ma dog aisee
Yaan mjomba wako pia ni dog?
 
Back
Top Bottom