Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Mi nakutaka wewe maana namiliki rangi ya ndoto yakoCheza nae tu
Mi nakutaka wewe maana namiliki rangi ya ndoto yakoCheza nae tu
Afu wanapenda dezo hao.mpaka wanaume wenzao wanawadekea.
Utasikia. Naomba ninunulie Chakula. Anamwambia mwanaume mwenzake bila aibu.

Ngoja waganga wa kienyeji waje. Huenda wakakutatulia tatizo lako. pumzika kidogoVipi huna dawa niwe mweusi
Sikutaki....utawatakaMi nakutaka wewe maana namiliki rangi ya ndoto yako




wangapiHatari kea nini??daaa lkn jf bhana ni hatari sana
Ukinikubali wewe nakupa kabisa limbwata uniwekeeSikutaki....utawatakawangapi
Mwanamke mweupe kwangu poa sana lkn awe naturally na asizd kama hawa madem wa kitizediAisee,ki ukweli hata Mimi binafsi mwanamke mweupe simpendi kabiiiisaaaa,mbaya zaida awe anajichubua ndo hd napatwa na kinyaa kugusana nae.
Usiniulize sababu aisee.
Ww ni noumaHatari kea nini??
mbona umekataa kwenda pm kuchek liliwa la jamaaBhudagala, vidagaa vidogo vidogo hahahahaNahisi kupata bahati hapa sasa.....
Swali zuriSababu haswa za kutowapenda hujazibainisha wazi.Au kuna mwanaume mweupe ulizama kimapenzi then akakuacha sasa unaleta chuki zako kwa wanaume wote weupe?
Tutachoshana tuWw ni nouma![]()
mbona umekataa kwenda pm kuchek liliwa la jamaa
Haya miss, nakukubali sanTutachoshana tu
Asee kweli bwanaWw ni nouma![]()
mbona umekataa kwenda pm kuchek liliwa la jamaa
Hongera yako,ila kila mtu na mzuka wake aisee!Mwanamke mweupe kwangu poa sana lkn awe naturally na asizd kama hawa madem wa kitizedi
ha ahahhaHuwezi kutofautisha wa kike au kiume
na una pesa okeyMkiamua kutafuta wanaume weusi, mjue Mimi pia mweusi!
Tatizo hazikai. Zinaingia na Kutoka.na una pesa okey