Official Amo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 990
- 1,216
Unapoamua kuzaa na mwanamke, basi inatakiwa uwe tayari kwa majukumu ya kumlea mtoto ambae Mungu amewa jaalia kumpata.
Ukweli ni kwamba suala la malezi sio suala la kitoto, linahitaji sacrifice ya kutosha, kwa hiyo kitendo cha kuwakimbia wanawake na kuwaacha na viumbe huwa inakuwa ni jambo zito kidogo kwao.
Hali wanayopitia inakuwa ni ngumu sana na wanakuwa wanapitia changamoto nyingi sana, hii inapelekea kuwaza mambo mengi sana wanakuwa depressed sana, hata kihisia wanakuwa hawako sawa.
Japokuwa wao pia huwa wana changamoto zao zinazofanya inakuwa ngumu kuishi nao, ila suala la kuwakimbia na kuwaachia mizigo ya watoto linakuwa sio sawa hata kidogo.
Tunachukua maamuzi kama haya inabidi tuqngalie na upande wa mama na watoto pia, sio upande wetu tu, hata kama inaonekana wao ndio wenye makosa
Ukweli ni kwamba suala la malezi sio suala la kitoto, linahitaji sacrifice ya kutosha, kwa hiyo kitendo cha kuwakimbia wanawake na kuwaacha na viumbe huwa inakuwa ni jambo zito kidogo kwao.
Hali wanayopitia inakuwa ni ngumu sana na wanakuwa wanapitia changamoto nyingi sana, hii inapelekea kuwaza mambo mengi sana wanakuwa depressed sana, hata kihisia wanakuwa hawako sawa.
Japokuwa wao pia huwa wana changamoto zao zinazofanya inakuwa ngumu kuishi nao, ila suala la kuwakimbia na kuwaachia mizigo ya watoto linakuwa sio sawa hata kidogo.
Tunachukua maamuzi kama haya inabidi tuqngalie na upande wa mama na watoto pia, sio upande wetu tu, hata kama inaonekana wao ndio wenye makosa