Peculiar
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 821
- 689
- Thread starter
- #21
Wao pia wanakosea,tena sana tu,ila Fanya uchunguzi katika ndoa yako.utagungua nani mara nyingi huwa chanzo.nani huwa hakubali kosa.kwa hiyo ktk mahusiano ss ndo tunakosea sana ? sisi peke yetu ndo waovu ?
Nani hayupo tayari kumuomba msamaha mwenziwe akimkosea.
Nani hugeuza makosa yake kuwa ya mwenziwe!?
Hope utagundua mara karibia zote mwanaume ndio chanzo.ila mwanamke akitaka kujirudishia ndio huonekana!
Ila wengi hawajirudishii,wanagugumia tu.wanalia na kufuta machozi kabla ya kutoka nje!
Usiniulize nimejuaje.
Kama wewe unamfanya mkeo awe na amani,naamini wewe utakua na amani zaidi yake.
Na hivi ndio tunatakiwa tuwe.na ndivyo tunavyopenda mabinti na dada zetu waishi. Au unasemaje mkuu!?