Wanaume wenye vitambi

Wanaume wenye vitambi

Mkuu ngoja nikusaidie kuliweka bandiko lako kisayans...
Kuna sifa(characteristic)nyng tu za human ngoja tuangalie hiz kupitia psychiatric
1/Hypomania(mania)
sifa ya watu hao
:ni mfupi,kifua kipana,mchesh,hatulii sehemu moja anapendelea nguo za kuonekana sana na pia ana high Libido(kuwa na hamu ya Ku do mapenz sana)
Mara nyng huota kitambi,,km ni demu anashepu sana na mkiweka ahad(promis) lazima aje never cancel a Promis May be iwe tatizo lko njee ya uwezo wake,,unaweza pia ukajichunguza au ukamchunguza demu wako km ni mfupi hana complications sana ukimwambie aje mageton.
2/Schizophrenia
..mrefu, shingo ndefu they hav long extremities
Low Libido,,hawana time sana na mapenz japo they satisfy more thn any one kwenye sex,na anapendelea zaid mapenz ya sir..hapend show off
Huwa wamapenda kuahirisha mambo,,cancel the Promis km ni demu anaweza kuja geto siku usio tegemea na mlpanga aje siku fulan km unademu mrefu jaribu kumchunguza...
Kwahiyo tabia na hulka za mtu huwa zinaendana na maumbile yake pia jins alivyo tu
Aiseee.... nimeipenda hii
 
Hii safi kumbe kitambi kinapokuja hakiji chenyewe kinakubadilisha hadi na tabia kabisa kwa hiy yawezekana kabla ya kupata kitambi ulikuwa unachukia mademu ila baada ya kitambi we na mademu damu damu...Na ukifanyia mazoez kikaisha na mademu hupendi tena...Interesting research..
 
nina kibosi changu hapa ni kifupi afu kina kitambi ni balaaa...na umesema wafupi wametulia kidogo ila huyu ni moto wa kuotea mbali ...
 
Kuna ka ukweli hapo, maana nami nina kitambi a.ka. mimba kama ya miezi 3, napenda wanawake, mcheshi na nina mtoto nje, MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU..

Heri yako you have decided to tell the Truth.. Now you are Free... Thanks..
 
Nikifanya mazoezi kitambi kikaisha na hiyo tabia inaisha??
Mtu mwenye kitambi ni mtu ambae asili yake anapenda dezo, vitu vitamu, mvivu wa kufikiri na kutenda, ambae kuhusu future haumizi kichwa na ndo maana anakuwa na kitambi(''mvivu wa kufikiri na kutenda'':-kumbuka ubongo huhitaji zaidi ya asilimia 75% ya chakula unachokula sasa kama wewe ni mvivu wa kufikiri chakula hicho kitabadilishwa kuwa fats na hatimae kitambi! ). Anakuwa mzinzi kwa sababu ya tabia ya asili ya kupenda vitu vitamu, na mara nyingi haiwezekani kufanya mazoezi kutokana na hizo tabia za asili za kupenda dezo na mteremko!!..... Kumbuka ninavyosema 'tabia za asili' namaanisha zile tabia za kuzaliwa na mbazo mara nyingi zinakuwa inheritable na ni genetic related!!~And that is the science behind the concept!
 
Mtu mwenye kitambi ni mtu ambae asili yake anapenda dezo, vitu vitamu, mvivu wa kufikiri na kutenda, ambae kuhusu future haumizi kichwa na ndo maana anakuwa na kitambi(''mvivu wa kufikiri na kutenda'':-kumbuka ubongo huhitaji zaidi ya asilimia 75% ya chakula unachokula sasa kama wewe ni mvivu wa kufikiri chakula hicho kitabadilishwa kuwa fats na hatimae kitambi! ). Anakuwa mzinzi kwa sababu ya tabia ya asili ya kupenda vitu vitamu, na mara nyingi haiwezekani kufanya mazoezi kutokana na hizo tabia za asili za kupenda dezo na mteremko!!..... Kumbuka ninavyosema 'tabia za asili' namaanisha zile tabia za kuzaliwa na mbazo mara nyingi zinakuwa inheritable na ni genetic related!!~And that is the science behind the concept!
Naamini unatania..
 
Isee nakubali kuna mzee nipo naye ofisi moja muda wote anakula kokoto isee,yan hatari akinyanyuka kwemye laptop yake lazma avae koti
 
Kwingine umepatia ila sinaga watoto wa nje
 
Vitambi kibongobongo ni ishara ya pesa
so wadada wanaotafuta fursa wanajisogeza huko kiurahisi
wao wanachagua tu
 
Haya..Utanipa feedback
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full of confidence!......Endelea kuishi na kuitawala JF mkuu!!
 
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full of confidence!......Endelea kuishi na kuitawala JF mkuu!!
We uko kundi gani mkuu?
 
Mkuu ngoja nikusaidie kuliweka bandiko lako kisayans...
Kuna sifa(characteristic)nyng tu za human ngoja tuangalie hiz kupitia psychiatric
1/Hypomania(mania)
sifa ya watu hao
:ni mfupi,kifua kipana,mchesh,hatulii sehemu moja anapendelea nguo za kuonekana sana na pia ana high Libido(kuwa na hamu ya Ku do mapenz sana)
Mara nyng huota kitambi,,km ni demu anashepu sana na mkiweka ahad(promis) lazima aje never cancel a Promis May be iwe tatizo lko njee ya uwezo wake,,unaweza pia ukajichunguza au ukamchunguza demu wako km ni mfupi hana complications sana ukimwambie aje mageton.
2/Schizophrenia
..mrefu, shingo ndefu they hav long extremities
Low Libido,,hawana time sana na mapenz japo they satisfy more thn any one kwenye sex,na anapendelea zaid mapenz ya sir..hapend show off
Huwa wamapenda kuahirisha mambo,,cancel the Promis km ni demu anaweza kuja geto siku usio tegemea na mlpanga aje siku fulan km unademu mrefu jaribu kumchunguza...
Kwahiyo tabia na hulka za mtu huwa zinaendana na maumbile yake pia jins alivyo tu
Yan upo sahihi kabsa!!! ..%
 
Back
Top Bottom