kama ameanza siku nyingi sawa lakini kama ameanza hivi karibuni basi ukiona manyoya............msipende kukariri, binadamu tupo tofauti, kuna wengne sio wapenzi wa misosi kwahyo akila chakula mda mbovu ndio hali tena mpaka kesho. Na kuna wengne akitangulia kunywa pombe kabla hajala msosi unakuwa haupandi tena....
kama ameanza siku nyingi sawa lakini kama ameanza hivi karibuni basi ukiona manyoya............
Aisee...hv kwanini humu duniani vitu vipo tofauti-tofauti? Wengine tuna-wish wake zetu muwe hivi lakini tumekumbana na wanaofikia kulala wakitoka kazini. Tunaishia kula chakula cha hausigeli!
Hv haifai kubadilishana wanawake?
Na nyie wanawake mnaofanyaga haya,muwafundishege na wenzenu basi, waume wengine tunaumia
UKIONA HIVYO KUNA MAHALI ANAKULAGA NDIO ANAKUJA NYUMBANI ANAKULA EITHER bAR AU KUNA MAHALI KAGUNDUA KUNA MSOSI MTAMU SANA.MIMI MWANAUME AKISEMA AMESHIBA WAKATI NIMEMWANDALIA HUWA HATA KAMA NIMESHIBA NIMELALA NAAMKA NAKILA KILE CHAKULA CHOOOOOTE BORA NIVIMBIWE .ATAJIFUNZA TU SOMO HUHUU TENA UKUTE NI NYAMA YA KUKU NITAIAMKIA SAA NANE USIKU PUMBAFU