Mshikemshike
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 421
- 210
Habari wana Jamii Forums.
Kuna tabia baadhi ya wanaume wanayo ya kutokula mtokapo kazini usiku. Mke umerudi umechoka ila kutokana na majukumu ya ndoa unamtayalishia Mr. Msosi nzuri cha kushangaza akifika anakwambie nilichelewa kula lunch so bado nimeshiba.
Wakati nimemaliza ufundi wote kukuandalia chakula.Siku akila basi ni vijiko vitatu kashiba kwa tabia izi mnatukera sana wake zenu, jirekebisheni.
Kuna tabia baadhi ya wanaume wanayo ya kutokula mtokapo kazini usiku. Mke umerudi umechoka ila kutokana na majukumu ya ndoa unamtayalishia Mr. Msosi nzuri cha kushangaza akifika anakwambie nilichelewa kula lunch so bado nimeshiba.
Wakati nimemaliza ufundi wote kukuandalia chakula.Siku akila basi ni vijiko vitatu kashiba kwa tabia izi mnatukera sana wake zenu, jirekebisheni.