Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,038
- 2,189
Mkuu achana nao!Dada wakati analambwa papuchi huko chumbani nina uhakika hata ww anakutukana kwa kujaribu kumkosesha raha hizo!
Endelea na yako achana nao!
ha ha ha ha!!! uwiii
Mkuu achana nao!Dada wakati analambwa papuchi huko chumbani nina uhakika hata ww anakutukana kwa kujaribu kumkosesha raha hizo!
Endelea na yako achana nao!
Hapana aweke wazi na alete mashtaka kwenu rasmi,hii sio haki kabisa,ila kiuwa na tahadhari upate maelezo toka pande zote!anaweza kuwa bado anatamani vijisenti vyenu hajui mna majukumu ya familia zenu,audada yetu tulimsomesha wenyewe ajabu baada tu ya kupata ajira akaleta mpare moja nyumbani eti anataka kuolewa, sasa tangu aolewe hajui ATM inafananaje wala ina rangi gani jamaa kateka kadi ya Benk, na ata akishachukua hiyo salary yake hampi ata mia adi sister anatupigia cm kutuomba tumpige tafu, jamani kweli huu ni ungwana?
Mligawiwa urithi mkampiga chini anadai vyake kiaina!
Inabidi mambo yawe wazi msije mtuhumu shemeji yenu bure muulizeni hata kama mke wake hiyo sio haki.
lady in action mbona unacheka sana mbebez wa ukweeeeiii?ha ha ha ha!!! uwiii
Usiingilie mapenzi ya watu we mzushi ,tafuta wako nawe
Usiingilie mapenzi ya watu we mzushi ,tafuta wako nawe
Sio uungwana bt we waache na mapenz yao ye akiona sio sahii atajua afanye nn
jina lako limenipatia shida sana.