naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,435
- Thread starter
- #81
Haya mahaba haya ya kugawa hadi kadi naomba yaniepuke tu
papuchi na mengine kadhalika yatosha
nita ku-PM namba zake umpe somo.
Haya mahaba haya ya kugawa hadi kadi naomba yaniepuke tu
papuchi na mengine kadhalika yatosha
hizo ndo zile ndoa unasikia mwanamke hadi mahari alijilipia na pete alijinunulia
Watu wa hivo huwa hawashauriwi ni kumwangalia tu....nita ku-PM namba zake umpe somo.
Na ukumbi alijilipia! Wako wengi sana tu!
ahaa kaka si unajua hawa dada zetu wakisha kuwa under someone hawawezi kuwa na maamuzi mpaka wame zao waseme
na yule jamaa ni cha pombe sana kwa hiyo nafikili pesa yote analipa madeni ya pombe
Saaana, yani mpaka mtu unajiuliza kweli wanaume wameisha kiasi hiki
Watu wa hivo huwa hawashauriwi ni kumwangalia tu....
Dada yetu tulimsomesha wenyewe ajabu baada tu ya kupata ajira akaleta mpare mmoja nyumbani eti anataka kuolewa, sasa tangu aolewe hajui ATM inafananaje wala ina rangi gani jamaa kateka kadi ya Benk.
Na hata akishachukua hiyo salary yake hampi ata mia hadi sister anatupigia simu kutuomba tumpige tafu, jamani kweli huu ni ungwana?
Ujinga wa watu wa aina hiyo ukimshauri anahisi kuonewa wivuaah Salt lakini inaniuma, si unajua kumwacha tu pia ni ishu, damu ni nzito kuliko mbege ndugu yangu
toa herufi 2 za mwanzo yaani ondoa tu, halafu soma kipande kilichobakia.