WANAUME WENGINE hatupendi wanawake WANAPOJICHORA INA mwilini.

WANAUME WENGINE hatupendi wanawake WANAPOJICHORA INA mwilini.

Mshinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
3,532
Reaction score
1,128
Frankly speaking,baadhi yetu wanaume hatupendi ile michoro mieusi inayonakishishiwa kwa ina kuchora maua mikononi na mpaka miguuni,natambua kwa wengine ni urembo lakini wengine hatuifurahii kabisa tofauti na mategemeo ya watumiaji,unamkuta msichana mrembo sana mtoto white alafu anajiharibu kwa hiyo ina,wengine weusi wanapaka hiyo rangi iliyo na weusi yaani badala ya kuwa mrembo zaidi inakuwa kinyume chake.
 
Frankly speaking,baadhi yetu wanaume hatupendi ile michoro mieusi inayonakishishiwa kwa ina kuchora maua mikononi na mpaka miguuni,natambua kwa wengine ni urembo lakini wengine hatuifurahii kabisa tofauti na mategemeo ya watumiaji,unamkuta msichana mrembo sana mtoto white alafu anajiharibu kwa hiyo ina,wengine weusi wanapaka hiyo rangi iliyo na weusi yaani badala ya kuwa mrembo zaidi inakuwa kinyume chake.
Urembo huo wa kuchora wanja unawahusu zaidi maharusi wa kike, nyakati za sikukuu na hasa za kidini! hususani wanake wa kiisilamu ndio wanaopendelea zaidi kwa hapa kwetu asili yake ni ukanda wa pwani hasa Tanga na Zanzibar utamaduni huu wamelithishwa na nchi za kiarabu! Wanawake wengi wanapenda urembo huu kwa kuwa hauchubui ngozi na unaweza kukaa nao kwa muda wa wiki moja mpaka mbili hivi!
Kifupi ni kudharau tamaduni za watu na ukijua fika hata kwenu kuna tamaduni mnafanya watu hawapendi watu wa aina hiyo kwa kuwa sio tamaduni zao sasa wewe ulitaka upende wanawake ambao si wa imani yako, tamaduni zako, huluka yako n.k!!!!!!!!!!!!
hivi wewe ndio nasikia unapositi thread 8 kwa siku? ehm nenda likizo basi japo mwezi mmoja ili ukirudi ujue jipi jema kupost na jipi si la kupost!!!! Niombi tu maana nasikia kwa mitusi hujambo!!!!!
 
Jamani mbona mnamshambulia,kasema hapendi!kazungumzia muono wake binafsi hakumtukana mtu.wangapi nyie hampendi vitu wengine wanavyopenda? Na msiingize mambo ya kidini yeyekazungumzia urembo na wala hakuingiza dini.tusichanganye mambo,tutachanganyikiwa.
 
Frankly speaking,baadhi yetu wanaume hatupendi ile michoro mieusi inayonakishishiwa kwa ina kuchora maua mikononi na mpaka miguuni,natambua kwa wengine ni urembo lakini wengine hatuifurahii kabisa tofauti na mategemeo ya watumiaji,unamkuta msichana mrembo sana mtoto white alafu anajiharibu kwa hiyo ina,wengine weusi wanapaka hiyo rangi iliyo na weusi yaani badala ya kuwa mrembo zaidi inakuwa kinyume chake.

Mwambie mkeo/girlfriend/girl next door/nyumba ndogo wasijipake wasiwe kero kwako kwetu sie wengne fanya ka haijatokea kitu
 
wapo wanawake ambao hawapendi pia hiyo michoro, nadhani ndo wanakufaa pole.
 
Jamani hizo ni imani za watu ndo zinawaruhusu..km weww hupendi wanaume wenzio wa imani hiyo wanampenda na ni sunna..sasa km wewe ni wa imani hiyo itabidi upende au km si wa imani hiyo muwaache watu na imani zao..hujalazimishwa kumpenda wala kumsifia...me ni mkristo na najua wenzetu waislamu ndo tamaduni au imani yao so ni lazima niheshimu tamaduni yao ht nikichukia haikusaidii so waache watu na life yao hizo ndo chokochoko mnazitafuta
 
ha ha ha ha ha ha jamani mbona mnataka kummeza mshinga ana haki ya kusema anajisikia ndo maana ya uhuru wa kutoa maoni. Chukulia poa kama unapenda kijichora mie nilidhani huwa wanachora kutafuta weusi ambao ni asili na huwezi kuupata dukani kama ilivyo kwa weupe.
 
una hakika gani kuwa wengi tunachukia?? me najua weng hatupendi ile michoro isiyofutika but hii ya kuchora siku 2 tatu na kuisha ni kama rangi za kucha au shedo tu kwa demu na kuna michoro huwa inavutia na kumfanya girl aonekane smart pia
 
una hakika gani kuwa wengi tunachukia?? me najua weng hatupendi ile michoro isiyofutika but hii ya kuchora siku 2 tatu na kuisha ni kama rangi za kucha au shedo tu kwa demu na kuna michoro huwa inavutia na kumfanya girl aonekane smart pia

Hakuna popote nilipoandika WENGI hatupendi.
 
mi pia sipendi. na hapa sio suala la dini tunaloongelea. Beauty is in the eyes of the beholder.
Kama lengo ni urembo, wengine tunaona ni uchafu!!!
 
kwenye kucha zinapendeza sana ila ile kama kibibiharusi nehieeee mie naonaga kama wajipaka mauchafu am truly sorry to say this!!! but wadada wa mujini unajua wanajipaka wapi siku hizi?? Kwenye kiuno katikati karibia na ikweta loooo mleta mada hili hujakutana nalo je nalo utachukia??
 
mi pia sipendi. na hapa sio suala la dini tunaloongelea. Beauty is in the eyes of the beholder.
Kama lengo ni urembo, wengine tunaona ni uchafu!!!

wewe utakuwa ulionana na bibi harusi ila kiharusi harusi wanapendeza jamani
 
Wanajichora bila mpangilio mpaka Ukimuangalia havutii tena,, mmeumbwa vizuri nyie mnaanza kijiEDIT HATE THAT!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom