Mheshimu Mungu zima simu mpaka ibada itakapoisha ni vema kuelewa maana nzima ya ibada na kwenda kusali kumbuka Mungu wetu si Mungu wa dhihaka
Kuna watu wamelala hawajiwezi wanatamani wawe kama wewe hapo kanisani, jaribu kufika Muhimbili utaona namaanisha nini
Mkuu umetoa maneno makal....subir nitekeleza.