Wanaume wengi hupenda baadae


Ndiyo maana yake kuwa kila atakaye sifia na kufake mahaba atapewa mchezo. Maana kigezo itakuwa ni kusifia na kusherehesha. Kazi rahisi sana kwa marioo au gigolo wa leo. Always short cut is easy.
 

Its true that they need to be loved but problem is they don't know what they want...Ukiwapenda wanaku manipulate PesaNdogo
 
Last edited by a moderator:
So kupoteza kwa mwanamke kupo kwenye muda na kuvurugika kwa mipango yake................lakini pia wanaume mipango yao huyumba na kuvurugika vilevile wanapokuwa au kutoka kwenye uhusiano.Lakini suala la ubinafsi hata wanawake wanalo sana,hujiangalia wao kama wao,haya yapo tunayaona.Kwa maelezo yako ya hapo juu,unamchora mwanamke kama malaika,mtu anayetendewa uovu na mwanaume,yaani yeye yupo safi,hamfanyii baya lolote mwanaume.Jamani wanaume huwekeza,tena huwekeza vitu viwili,HUWEKEZA MOYO NA PESA,je mwanaume anapopigwa chini na mwanamke huwa hajapoteza?je mwanamke anapoamua kuolewa na mtu mwingine akamuacha jamaa inakuwaje?yote kwa yote mwanamke ana nafasi kubwa ya kuendelea na uhusiano mwingine,maana yeye ndo decision maker,akitongozwa ndo huweka green light.
#Mkorosho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…