Wanaume wengi hupenda baadae

Wanaume wengi hupenda baadae

Mbona unapagawa hivyo, kwasababu time huwa haifidiwi ndo maana nimeuliza. Unakuwa umeyasimamisha maisha ya mtu, kuna mambo ya maana ambayo angefanya kama usingekuwepo na wengine mmewazalisha kabisa. Mtaendelea kuchunwa mkidhani wanasubiri kupenda

na wakati anakupotezea muda yeye calender yake inakuwa imeweka pause?..sasa hapo tusilalamikiane ..you get "mchuno" unaoutaka na we get what we want from you...ngoma draw!!! sahau any shit about kuzalishana (kwani mimba tunawawekea kwa mono?) na kupotezeana muda

na kama mnafurahi kuchuna lazima mjue kitu kinachozalisha faida huwa ni asset..na assets zipo subject to depreciation..things like wear and tear nk..so mimba, kuzaa, papuchi kugeuka uchochoro, maziwa kuwa saa 12 jioni, hips kuspread kama zinamwagika, kuwa na mitumbo inayofunika waistband za suruali nk ni mifano ya depreciation zenu!!!
 
na wakati anakupotezea muda yeye calender yake inakuwa imeweka pause?..sasa hapo tusilalamikiane ..you get "mchuno" unaoutaka na we get what we want from you...ngoma draw!!! sahau any shit about kuzalishana (kwani mimba tunawawekea kwa mono?) na kupotezeana muda

na kama mnafurahi kuchuna lazima mjue kitu kinachozalisha faida huwa ni asset..na assets zipo subject to depreciation..things like wear and tear nk..so mimba, kuzaa, papuchi kugeuka uchochoro, maziwa kuwa saa 12 jioni, hips kuspread kama zinamwagika, kuwa na mitumbo inayofunika waistband za suruali nk ni mifano ya depreciation zenu!!!

Maana sijaonana na wanawake wanaotongoza wanaume, yule anayeanzisha mahusiano ni mwanaume ina maana ameomba nafasi anapewa, kumbe ameomba nafasi ambayo haihitaji hivyo muda wote ambao mtu amempa ni muda uliopotezwa.
Bottom line, mahusiano ya kimapenzi ni hasara kwa mwanamke ambaye anasubiria kupendwa wakati mahusiano yameshaanza. Kama humpendi mtu mwache aende zake.

Eti depreciation, mwangalie mama ako alivyodepreciate kwa kukunyonyesha wewe na kupigwa mti na baba ako hiyo ndo tafsiri ya hayo maneno kwamba mwanamke anadepreciate. Wanawake wengi wanawapenda watu wasiowapenda wao ndo maana wengine wakaingia kwenye kuchuna ili angalau uhusiano ukiisha awe ana kitu amegain maana mwanamke analoose zaid ktk mahusiano ya mapenzi.
 
Maana sijaonana na wanawake wanaotongoza wanaume, yule anayeanzisha mahusiano ni mwanaume ina maana ameomba nafasi anapewa, kumbe ameomba nafasi ambayo haihitaji hivyo muda wote ambao mtu amempa ni muda uliopotezwa.
Bottom line, mahusiano ya kimapenzi ni hasara kwa mwanamke ambaye anasubiria kupendwa wakati mahusiano yameshaanza. Kama humpendi mtu mwache aende zake.

Eti depreciation, mwangalie mama ako alivyodepreciate kwa kukunyonyesha wewe na kupigwa mti na baba ako hiyo ndo tafsiri ya hayo maneno kwamba mwanamke anadepreciate. Wanawake wengi wanawapenda watu wasiowapenda wao ndo maana wengine wakaingia kwenye kuchuna ili angalau uhusiano ukiisha awe ana kitu amegain maana mwanamke analoose zaid ktk mahusiano ya mapenzi.
Mwanamke anapoteza kitu gani uhusiano unapovunjika?na mwanaume anafaidika na nini?
 
Mwanamke anapoteza kitu gani uhusiano unapovunjika?na mwanaume anafaidika na nini?

Mwanamke kwa sababu huwa anampenda mtu kweli, anaweza hata kuahirisha mipango yake ya maisha kuaccomodate uhusiano, mf. Wengine wamepoteza masomo yao, wamezaa nje ya mpango wao hivyo kulazimika kuacha mambo mengine walee watoto kumbe mwanaume bado hajaanza kumpenda. Unajua majeraha ya moyoni ya mwanamke anayopata kwa kuvumilia uhusiano usio na upendo, ni hasara maana maisha yake hayatakuwa kama ulivyomkuta.

Mwanaume unaweza kuishi na mwanamke ukasema wewe haujamuoa mmezaa tu na ukaamua kuishi kama upo single,
Mkiachana huna mimba wewe na jamii haikushangai ila unajua jamii Inamuangaliaje mwanamke uliemwacha na anajisikiaje kupoteza opurtunity ambazo angepata ila alisacrifice kwa ajili ya uhusiano.

Unajua mama yako alimvumilia mambo mangapi mzazi wako wa kiume, wanawake wanaingia gharama kubwa kihisia ukiachia kimaisha hlf unasema hawajapoteza kitu.Ubinafsi wa wanaume ndo unaokusukuma kuwadanganya wanawake waendelee kutoa bila kupokea upendo.
 
Maana sijaonana na wanawake wanaotongoza wanaume, yule anayeanzisha mahusiano ni mwanaume ina maana ameomba nafasi anapewa, kumbe ameomba nafasi ambayo haihitaji hivyo muda wote ambao mtu amempa ni muda uliopotezwa.

Bottom line, mahusiano ya kimapenzi ni hasara kwa mwanamke ambaye anasubiria kupendwa wakati mahusiano yameshaanza. Kama humpendi mtu mwache aende zake.Eti depreciation, mwangalie mama ako alivyodepreciate kwa kukunyonyesha wewe na kupigwa mti na baba ako hiyo ndo tafsiri ya hayo maneno kwamba mwanamke anadepreciate.

Wanawake wengi wanawapenda watu wasiowapenda wao ndo maana wengine wakaingia kwenye kuchuna ili angalau uhusiano ukiisha awe ana kitu amegain maana mwanamke analoose zaid ktk mahusiano ya mapenzi.

Kama mama yangu amedepreciate ni kwa sababu ya kiheshima ya kuwa katika ndoa...usiirelate na ishu yako maana wewe ndo umeleta mambo ya kuchuna... mama yangu hakuingia katika mahusiano kwa lengo la kuchuna..leave issues where they are..na if you want to get personal I can too!!!
 
Mwanamke kwa sababu huwa anampenda mtu kweli, anaweza hata kuahirisha mipango yake ya maisha kuaccomodate uhusiano, mf. Wengine wamepoteza masomo yao, wamezaa nje ya mpango wao hivyo kulazimika kuacha mambo mengine walee watoto kumbe mwanaume bado hajaanza kumpenda.

Unajua majeraha ya moyoni ya mwanamke anayopata kwa kuvumilia uhusiano usio na upendo, ni hasara maana maisha yake hayatakuwa kama ulivyomkuta. Mwanaume unaweza kuishi na mwanamke ukasema wewe haujamuoa mmezaa tu na ukaamua kuishi kama upo single,

Mkiachana huna mimba wewe na jamii haikushangai ila unajua jamii Inamuangaliaje mwanamke uliemwacha na anajisikiaje kupoteza opurtunity ambazo angepata ila alisacrifice kwa ajili ya uhusiano.

Unajua mama yako alimvumilia mambo mangapi mzazi wako wa kiume, wanawake wanaingia gharama kubwa kihisia ukiachia kimaisha hlf unasema hawajapoteza kitu.Ubinafsi wa wanaume ndo unaokusukuma kuwadanganya wanawake waendelee kutoa bila kupokea upendo.

kwa hiyo hata kuahirisha mipango kulea watoto wake mwenyewe unaona anamfanyia favour mwanamme?
 
Kama mama yangu amedepreciate ni kwa sababu ya kiheshima ya kuwa katika ndoa...usiirelate na ishu yako maana wewe ndo umeleta mambo ya kuchuna... mama yangu hakuingia katika mahusiano kwa lengo la kuchuna..leave issues where they are..na if you want to get personal I can too!!!

Mi nilipotaja kuchuna sikusema anawachuna watu wangapi mind u, niliongelea neno uhusiano sio mahusiano. Tunajuaje na mama ako alikuwa na nani kabla ya baba ako, mnapenda kuwasema wanawake hovyo utadhani mama zenu na dada zenu sio wanawake.
Kuchakaa kwa mwanamke ni kuchakaa tu kama ulivyosema maana haujaspecify. Umesema 'wanawake' wana wear and tear
 
Alola

Nafikiri wanawake ndio wanaweza kuingia kwa relatioship bila kupenda mwanaume kabisa ila jinsi wanavyokuwa anaendelea kupenda taratibu.hiyo ni inajionesha zaidi kwa wanawake,sio wanaume km ulivyosema japo yaweza tokea pia kwa wanaume wa chache.
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo hata kuahirisha mipango kulea watoto wake mwenyewe unaona anamfanyia favour mwanamme?

Angejipa mimba ingekuwa wake mwenyewe, jukumu ni la wote lkn wanaume wengi hawashiriki sana kwenye malezi ya awali ya watoto. Kwa hiyo wakati unampa mimba bado ulikuwa unatafuta sababu za kumpenda?

Kama ni wajibu wake tu na anastahili kusimamisha mipango yake na sio jambo la maana, basi usingekuwa unampenda mzazi wako wa kike maana atakuwa hajafanya la tofauti maana unaona ni wajibu tu, una uhakika mzazi wako wa kiume alijitoa kiasi gani?

Ni wakati wanaume muone wanawake ni watu sio mashine, eti utampenda baadae khaaa limekuwa gari hilo mpaka linakuwa screpa ndo unasema limeenda sana hili gari...seriously! ?

Women need to be loved, kama humpendi mwache sio kumtesa binti wa watu kumahidi mambo kede kede uje umtese eti utampenda akifanya hiyo nini...na nini eti ni trial period sasa
 
Mi nilipotaja kuchuna sikusema anawachuna watu wangapi mind u, niliongelea neno uhusiano sio mahusiano. Tunajuaje na mama ako alikuwa na nani kabla ya baba ako, mnapenda kuwasema wanawake hovyo utadhani mama zenu na dada zenu sio wanawake.
Kuchakaa kwa mwanamke ni kuchakaa tu kama ulivyosema maana haujaspecify. Umesema 'wanawake' wana wear and tear

ingekuwa vyema ungeisoma tena post yangu mkuu...nimesema kama mwanamke ataingia katika mahusiano kwa lengo la kuchuna ina maana huo mwili wake kaufanya assets sababu asset ipo kwa ajili ya kutengeneza faida...remember?

Na nikaenda mbele kwa kukwambia basi kama ni asset basi tunajua asset ipo subjected to depreciation ikiwamo hiyo tear and wear..right?

Nikakwambia kwa hiyo tusilaumiane pale utakapokuwa kwangu kwa lengo la kunichuna coz you get what you want and I get what I want..na hii haibagui..kama dadangu ataingia katika mahusiano kwa lengo hilo basi atayapata yampasayo..ila mamangu na mamako waweke kando maana wapo ndani ya ndoa kwa hiyo kuchoka kwao ni honourable..right?
 
Angejipa mimba ingekuwa wake mwenyewe, jukumu ni la wote lkn wanaume wengi hawashiriki sana kwenye malezi ya awali ya watoto. Kwa hiyo wakati unampa mimba bado ulikuwa unatafuta sababu za kumpenda?

Kama ni wajibu wake tu na anastahili kusimamisha mipango yake na sio jambo la maana, basi usingekuwa unampenda mzazi wako wa kike maana atakuwa hajafanya la tofauti maana unaona ni wajibu tu, una uhakika mzazi wako wa kiume alijitoa kiasi gani?

Ni wakati wanaume muone wanawake ni watu sio mashine, eti utampenda baadae khaaa limekuwa gari hilo mpaka linakuwa screpa ndo unasema limeenda sana hili gari...seriously! ?

Women need to be loved, kama humpendi mwache sio kumtesa binti wa watu kumahidi mambo kede kede uje umtese eti utampenda akifanya hiyo nini...na nini eti ni trial period sasa

kwa bahati mbaya post zipo nyingi vinginevyo kuna post yangu ungeiona..nimesema sio vizuri na sio kweli kusema mwanamme anapenda baadae..nimesema mwanamme kwa kuwa ndo anaanzisha mahusiano basi anapenda tangu mwanzo..

tatizo inaweza ikamchukua muda kureveal mapenzi hayo kwa maneno kwa kuwa mwanzoni mwanamme anatend kuwa reserved kwa sababi iliyozoeleka (I stand to be corrected) kuwa mwanamke ukimuonyesha mapenzi makubwa mwanzoni basi ana tabia ya kuanza maringo na kunata..so we buy time mpaka uwe muelewa kwanza..but within tunakuwa tunawapenda

Then nikataja sababu ya pili kuwa mwanamme anaweza asiwe mtu wa kukwambia nakupenda kila dakika kwa sababu naturally wanaume huwa tuna-internalize feelings wakati wanawake wako more open,

wana-externalize feelings and they tend to be more vocal..thats why hata kwenye kitu kama kufiwa mwanamke atakuwa mwepesi kuangua kilio cha kelele wakati mwanamme uso mkavu..its not that we dont feel...within tunakuwa tunalia kuliko nyie!!!
 
ingekuwa vyema ungeisoma tena post yangu mkuu...nimesema kama mwanamke ataingia katika mahusiano kwa lengo la kuchuna ina maana huo mwili wake kaufanya assets sababu asset ipo kwa ajili ya kutengeneza faida...remember?

Na nikaenda mbele kwa kukwambia basi kama ni asset basi tunajua asset ipo subjected to depreciation ikiwamo hiyo tear and wear..right?

Nikakwambia kwa hiyo tusilaumiane pale utakapokuwa kwangu kwa lengo la kunichuna coz you get what you want and I get what I want..na hii haibagui..kama dadangu ataingia katika mahusiano kwa lengo hilo basi atayapata yampasayo..ila mamangu na mamako waweke kando maana wapo ndani ya ndoa kwa hiyo kuchoka kwao ni honourable..right?

Wewe ndo hukuelewa niliposema wanawake wengine wanaamua hivyo, anaweza kuingia uhusiano kwa nia njema lakin anapogundua hujampenda basi anaamua kutengeneza faida kwa njia hiyo kutoka kwenye uhusiano wenu.

Ndo maana kuna wanawake wanaishi na wanaume wenye tabia mbaya zilizokithiri mradi wana hela basi mwanamke anabaki sio kwasababu ya kupenda tena...malengo yanabadilika.

Wanawake ni wepesi kubadili malengo maana tunaendeshwa na hisia zaid, lkn ukweli ni kwamba wanaume hawabadiliki so wanawake msijidanganye kama moyoni mwake hajataka ni hataki usisubirie kupendwa mwakani labda kama una lengo lingine
 
Wewe ndo hukuelewa niliposema wanawake wengine wanaamua hivyo, anaweza kuingia uhusiano kwa nia njema lakin anapogundua hujampenda basi anaamua kutengeneza faida kwa njia hiyo kutoka kwenye uhusiano wenu.

Ndo maana kuna wanawake wanaishi na wanaume wenye tabia mbaya zilizokithiri mradi wana hela basi mwanamke anabaki sio kwasababu ya kupenda tena...malengo yanabadilika.

Wanawake ni wepesi kubadili malengo maana tunaendeshwa na hisia zaid, lkn ukweli ni kwamba wanaume hawabadiliki so wanawake msijidanganye kama moyoni mwake hajataka ni hataki usisubirie kupendwa mwakani labda kama una lengo lingine

ok mkuu
 
kwa bahati mbaya post zipo nyingi vinginevyo kuna post yangu ungeiona..nimesema sio vizuri na sio kweli kusema mwanamme anapenda baadae..nimesema mwanamme kwa kuwa ndo anaanzisha mahusiano basi anapenda tangu mwanzo..tatizo inaweza ikamchukua muda kureveal mapenzi hayo kwa maneno kwa kuwa mwanzoni mwanamme anatend kuwa reserved kwa sababi iliyozoeleka (I stand to be corrected) kuwa mwanamke ukimuonyesha mapenzi makubwa mwanzoni basi ana tabia ya kuanza maringo na kunata..so we buy time mpaka uwe muelewa kwanza..but within tunakuwa tunawapenda

Then nikataja sababu ya pili kuwa mwanamme anaweza asiwe mtu wa kukwambia nakupenda kila dakika kwa sababu naturally wanaume huwa tuna-internalize feelings wakati wanawake wako more open, wana-externalize feelings and they tend to be more vocal..thats why hata kwenye kitu kama kufiwa mwanamke atakuwa mwepesi kuangua kilio cha kelele wakati mwanamme uso mkavu..its not that we dont feel...within tunakuwa tunalia kuliko nyie!!!

Heading yako inasema, "wanaume hupenda baadae" labda ulimaanisha kuonesha upendo baadae what ever the case hautendi haki kwa kutomuonesha upendo mtu ambaye umemfanya akupe nafasi ambayo angempa mtu mwingine au kitu kingine. Unamfanya mtu ateseke eti utaonesha upendo baadae ndo maana mkigongewa mnachanganyikiwa kumbe wenzenu hawakuona kama mnawapenda wakawapa chance wengine.
 
Mimi nilimpenda my first boyfriend blindly,kufanya na kupata mimba cku hyohyo,nikiwa form3,yy form,4 kwa mapenzi ckumtaja ili akasome kwn alifaulu,tnx God na mm nilikuwa darasani nategemewa ckufukuzwa nilipojifungua nikarurdi shule miaka hyo ya tisin,but promise zote ziliyeyuka alipopata kazi asinitafute,mana wazazi walinitimua akamsomesha mwanamke mwingine,so wanaume hawapendi,wanatamani,tu kupenda hadi waongezewe chaji kidogo
 
Mimi nilimpenda my first boyfriend blindly,kufanya na kupata mimba cku hyohyo,nikiwa form3,yy form,4 kwa mapenzi ckumtaja ili akasome kwn alifaulu,tnx God na mm nilikuwa darasani nategemewa ckufukuzwa nilipojifungua nikarurdi shule miaka hyo ya tisin,

but promise zote ziliyeyuka alipopata kazi asinitafute,mana wazazi walinitimua akamsomesha mwanamke mwingine,so wanaume hawapendi,wanatamani,tu kupenda hadi waongezewe chaji kidogo

Umeona sasa, wabinafsi hawa viumbe ndo maana wanatunga sera nyingi kwenye jamii ili waendelee kuwafaidi wanawake bila kuwa responsible.
 
Heading yako inasema, "wanaume hupenda baadae" labda ulimaanisha kuonesha upendo baadae what ever the case hautendi haki kwa kutomuonesha upendo mtu ambaye umemfanya akupe nafasi ambayo angempa mtu mwingine au kitu kingine.

Unamfanya mtu ateseke eti utaonesha upendo baadae ndo maana mkigongewa mnachanganyikiwa kumbe wenzenu hawakuona kama mnawapenda wakawapa chance wengine.

sio heading yangu...mimi ni mchangiaji sio mleta mada...so hakuna mahali ambapo nimesupport ishu ya wanaume kupenda baadae
 
Back
Top Bottom