Wanaume wengi hupenda baadae

Wanaume wengi hupenda baadae

sio heading yangu...mimi ni mchangiaji sio mleta mada...so hakuna mahali ambapo nimesupport ishu ya wanaume kupenda baadae

Majibu yako yamesapoti hicho kichwa, labda kama sijui kusoma vizuri. Capt nimo au finding nimo. Pole na samahani kwa kusema ni heading yako
 
Kwanza wanawake wanajito sana,wanakubadilisha kwenye future nzuri,mf mzuri,penny kamtafutia diamond mwl wa kiingereza,wema alikuwa akimsaidia kupractice ili awe na mafanikio zaidi,lkn ametumia hyo lugha kumtongozea zari,ukweli unabaki wanaume hawana mapenzi wala shukrani hata akuzalishe ni mwepec kusahau mema yako,uliyempenda hutakubali aumie
 
Mimi nilimpenda my first boyfriend blindly,kufanya na kupata mimba cku hyohyo,nikiwa form3,yy form,4 kwa mapenzi ckumtaja ili akasome kwn alifaulu,tnx God na mm nilikuwa darasani nategemewa ckufukuzwa nilipojifungua nikarurdi shule miaka hyo ya tisin,

but promise zote ziliyeyuka alipopata kazi asinitafute,mana wazazi walinitimua akamsomesha mwanamke mwingine,so wanaume hawapendi,wanatamani,tu kupenda hadi waongezewe chaji kidogo

pole sana na natumai Mungu alikujalia ukasimama pamoja na mwanao..these things happen..na we should note kuwa tabia za watu sio identical...kwa jinsia zote wazuri wapo na wabaya wapo.

Kuna jamaa alifall kwa binti toka katika familia fukara..wakapendana na jamaa akawa ndo mlishi wa familia ya msichana...basi kwa kuwa binti alishafail secondary ingawa alipenda sana elimu jamaa alimsomesha QT, then High School, the college pale CBE..binti kapata degree yake. walishakubaliana akimaliza masomo tu, kifuatacho ni ndoa

Basi jamaa alipoomba waanze mipango ya kufunga ndoa binti alimwambia haiwezekani coz keshapata mtu anayeendana nae (msomi mwenzake) maana jamaa alikuwa form four leaver ingawa kibiashara kasimama vizuri

Kwa uso mkavu bila kupepesa macho binti alimwambia kama ni suala la gharama alizoingia mwanaume kwa ajili yake basi apige hesabu pamoja na interest juu ili alipwe!!!
 
Majibu yako yamesapoti hicho kichwa, labda kama sijui kusoma vizuri. Capt nimo au finding nimo. Pole na samahani kwa kusema ni heading yako

no harm done rafiki, haina haja ya samahani..nimependa kuona kuwa you saw "Finding Nimo"
 
Kwanza wanawake wanajito sana,wanakubadilisha kwenye future nzuri,mf mzuri,penny kamtafutia diamond mwl wa kiingereza,wema alikuwa akimsaidia kupractice ili awe na mafanikio zaidi,lkn ametumia hyo lugha kumtongozea zari,ukweli unabaki wanaume hawana mapenzi wala shukrani hata akuzalishe ni mwepec kusahau mema yako,uliyempenda hutakubali aumie

na tusipende kutumia mema tunayomfanyia mtu kumfunga hata kama we ourselves are going astray!!! Najua unaujua uchafu wote wa Wema na Penny (including kuchoropoa mimba za mshikaji bila hata kumhusisha) kama unasuggest kuwa Diamond angetulia na kuyapigia makofi maovu yao basi u better think again..For Chrissake, Wema was fucking ever guy in her sight wakati yupo na Diamond!!!
 
Binafsi kweli huu Uzi umenigusa sana kama mm bado cjaoa bado lkn nimeumiwa sana na kitu kinaitwa mapezi hasa pale mpenzi niliye mtegemea kumuoa na nilikuwa na mpenda sana kwel lkn ctasahau pale alivyo nitumia mssge tano mfurulizo akiniambia tuachane bila kosa lolote so ndo na amin kwel mapenz nikitu kingine kabisa na kumpata mtu anayekupenda kwa dhati nawe kumpenda kwa dhat ni vigumu sana kwa kwrli lamsing ni kumuomba mungu katika hili
 
thanks mkuu..tunajaribu kuchangia mawazo

Kuna mahali nadhani kapanic akaingiza ishu ya mzazi, umestay Calm, nimependa sana. Huyu dada kupitia maelezo yake either kapitia hiyo kuachwa au mtu wake wa karibu.
 
Kuna mahali nadhani kapanic akaingiza ishu ya mzazi, umestay Calm, nimependa sana. Huyu dada kupitia maelezo yake either kapitia hiyo kuachwa au mtu wake wa karibu.

inatokea inakuja ishu ambayo kwa njia moja au nyingine inatugusa, basi tunajikuta badala ya kujadili kwa mtazamo mzuri, tunajadili huku tukiwa na machungu ya yaliyotukuta au yaliyowakuta ndugu/marafiki zetu..tunakosea tukufanya hivyo
 
Mi nilipotaja kuchuna sikusema anawachuna watu wangapi mind u, niliongelea neno uhusiano sio mahusiano. Tunajuaje na mama ako alikuwa na nani kabla ya baba ako, mnapenda kuwasema wanawake hovyo utadhani mama zenu na dada zenu sio wanawake.
Kuchakaa kwa mwanamke ni kuchakaa tu kama ulivyosema maana haujaspecify. Umesema 'wanawake' wana wear and tear
...relax...too uptight!
 
na tusipende kutumia mema tunayomfanyia mtu kumfunga hata kama we ourselves are going astray!!! Najua unaujua uchafu wote wa Wema na Penny (including kuchoropoa mimba za mshikaji bila hata kumhusisha) kama unasuggest kuwa Diamond angetulia na kuyapigia makofi maovu yao basi u better think again..For Chrissake, Wema was fucking ever guy in her sight wakati yupo na Diamond!!!

Naomba unielewe mkuu,wadada walifikiria future ya jamaa pamoja na utoto wa mrengo wa maisha yao,hebu tuulize yeye aliwafanyia nn ili tumsifu,kawakuta maarufu,ingawa 4 his happiness anauhusiano ulotulia thats gud 4 him,

mm ni sngle mama wa mtt wa kiume so najua na namsapot dogo,ila kwa mada hii wa dada wameplay part ya upendo wa kitu kisichoharibika,so wanaume wanatamaa tu,kupenda ni wanawake
 
Naomba unielewe mkuu,wadada walifikiria future ya jamaa pamoja na utoto wa mrengo wa maisha yao,hebu tuulize yeye aliwafanyia nn ili tumsifu,kawakuta maarufu,ingawa 4 his happiness anauhusiano ulotulia thats gud 4 him

mm ni sngle mama wa mtt wa kiume so najua na namsapot dogo,ila kwa mada hii wa dada wameplay part ya upendo wa kitu kisichoharibika,so wanaume wanatamaa tu,kupenda ni wanawake

sio rahisi kusema kawafanyia nini ila naamini they gained something..be it materially au emotionally (in bed for example) otherwise wasingestuck with him for so long...thumbs up for taking care of your boy
 
sio rahisi kusema kawafanyia nini ila naamini they gained something..be it materially au emotionally (in bed for example) otherwise wasingestuck with him for so long...thumbs up for taking care of your boy

Ha ha ha nimecheka sana,yeye ndo kagain sana,kwani katembea na the most famous women s in tz,akiwemo wema naw anatembea na the most famous woman in east and south Africa,nahic anatafuta the most famous woman ni Africa utakuja nambia humu humu ,any way back kwenye mada hii ni mifano halisi na entertainment tu,ila kiukweli wanaume hawana mapenzi wanaongozwa na tamaa ndo mana bishara ya dada poa haiishi.
 
Ha ha ha nimecheka sana,yeye ndo kagain sana,kwani katembea na the most famous women s in tz,akiwemo wema naw anatembea na the most famous woman in east and south Africa,

nahic anatafuta the most famous woman ni Africa utakuja nambia humu humu ,any way back kwenye mada hii ni mifano halisi na entertainment tu,ila kiukweli wanaume hawana mapenzi wanaongozwa na tamaa ndo mana bishara ya dada poa haiishi.

wangu, wenye mapenzi wapo, I, for one, am real where it comes to love!!!
 
daaa hyo imenitokea sana kuna dem flan hvi mwanzon sikumkubali na nlikua simuelew kabisaa ila baada ya kunisumbua kwa mda mrefu nikajikuta namkubali mbaya hata sjui kwanin

Ni kweli bro......unakuta mwanzoni ulikua hum feel chochote sumtyms unamjibu vibaya sabab unakua umevimba kichwa kujua anakupenda. But yeye unakuta anakaa kimya na kuvumilia tu. Alaf unakuta later on hakutamkii tena kwamba anakupenda nd stuff like that ila kuna vitu flan anakua anakufanyia kuonyesha upendo wa dhati kwako. Honestly kuna siku machozi yalintoka nika apologise kwake of all the things i ever did to her.

Sumtyms mtu akikukosea usikimbilie kulipa ubaya ni vyema kujifunza kuumia ndani na kuendelea na wema tu. Trust me kuna siku atakujia na magoti.
 
Alola

Unatudanganya kutetea tamaa za wanaume ili watu wakubali mahusiano yasiyo na upendo. Je ikitokea mpk hiyo baadae huyo bwana hampendi mwanamke atamlipaje fidia ya muda aliompotezea?

Upendo wa kweli hauhesabu mabaya. Siyo kamali kwamba kuna kula na kuliwa. Ni kujitoa na mengine ni majaaliwa.
 
Upendo wa kweli hauhesabu mabaya. Siyo kamali kwamba kuna kula na kuliwa. Ni kujitoa na mengine ni majaaliwa.

Ila mkigongewa mnamaindi wakati upendo hauhesabu mabaya,haya unataka ujitoe kuliwa? Kama huwezi kuonesha upendo mwachie anayeweza usibane nafasi
 
Back
Top Bottom