Amani iwe kwenu wana JF,
Leo nimeona nizungumzie katafiti uchwara kadogo nilikokafanya juu ya usafi binafsi hasa wa wanaume. Wanaume wengi wakitoka kujisadia haja ndogo huwa hawanawi mikono. Kwa maneno mengine ukipeana mkono na mwanaume kuna uwezekano umeligusa dude lake kidigitali. Hali hii inachagiwa sana na kukosekana na maji safi/sabuni hasa sehemu za watu wengi baa, kumbi za starehe n.k . ingawa kuna baadhi ya wanaume wamekiri kuwa hata nyumbani huwa hawanawi mikono.
Wewe unanawa mkono baada ya kujisaidia haja ndogo?
Leo nimeona nizungumzie katafiti uchwara kadogo nilikokafanya juu ya usafi binafsi hasa wa wanaume. Wanaume wengi wakitoka kujisadia haja ndogo huwa hawanawi mikono. Kwa maneno mengine ukipeana mkono na mwanaume kuna uwezekano umeligusa dude lake kidigitali. Hali hii inachagiwa sana na kukosekana na maji safi/sabuni hasa sehemu za watu wengi baa, kumbi za starehe n.k . ingawa kuna baadhi ya wanaume wamekiri kuwa hata nyumbani huwa hawanawi mikono.
Wewe unanawa mkono baada ya kujisaidia haja ndogo?