Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
Kwa utafiti wangu nilioufanya in indirect way, umebaini dunia ya leo wanawake wengi hawafikishwi kileleni na waume/ wapenzi wao, ni more than 98.7% approx! Na zilizobakia ndiyo zile za wale wanaofikishwa kwa hapa Tanzania.
Wanaume madhaifu haya yameshatambuliwa na wake zao na hivyo wanawake wanapata ujasiri mno na hii inatumika kama fimbo kwa wanaume. Na ndiyo maana wanawake wana sauti mno siku hizi kuliko wanaume. Jibu ninalo:
Utamfokea vipi aliyekugundua kuwa kitandani humridhishi na uume unanywea mapema?(aibu).
Utamfokea vipi mtu aliyeujua udhaifu wako wa bao moja chali? Kwa nini asiutumie kama fimbo?
Utamfokeaje mtu anayejua kuwa uume wako hauna nguvu/lege lege?
Haya na mengine mengi yamepelekea wanaume kutojiamini na kunyenyekea mno kwa wake zao, inatia huruma sana. Hali ni mbaya sana, na haya 'mavyakula' ya viwandani basi taabu tupu. Acheni tu wanawake wawe na sauti.
Hii imepelekea pia wengi kujificha kwenye kivuli cha mahaba kumbe wananyenyekea ili wasiburuzwe, yaani wana act kuwa submissive wakisingizia mahaba kwa wake zao
Tuache mihemko tuliongee kwa mapana yake hili. Nipo tayari kuchangia hoja na kutoa ushirikiano kwenye utatuzi.
Wanaume madhaifu haya yameshatambuliwa na wake zao na hivyo wanawake wanapata ujasiri mno na hii inatumika kama fimbo kwa wanaume. Na ndiyo maana wanawake wana sauti mno siku hizi kuliko wanaume. Jibu ninalo:
Utamfokea vipi aliyekugundua kuwa kitandani humridhishi na uume unanywea mapema?(aibu).
Utamfokea vipi mtu aliyeujua udhaifu wako wa bao moja chali? Kwa nini asiutumie kama fimbo?
Utamfokeaje mtu anayejua kuwa uume wako hauna nguvu/lege lege?
Haya na mengine mengi yamepelekea wanaume kutojiamini na kunyenyekea mno kwa wake zao, inatia huruma sana. Hali ni mbaya sana, na haya 'mavyakula' ya viwandani basi taabu tupu. Acheni tu wanawake wawe na sauti.
Hii imepelekea pia wengi kujificha kwenye kivuli cha mahaba kumbe wananyenyekea ili wasiburuzwe, yaani wana act kuwa submissive wakisingizia mahaba kwa wake zao
Tuache mihemko tuliongee kwa mapana yake hili. Nipo tayari kuchangia hoja na kutoa ushirikiano kwenye utatuzi.