Dabby Jr
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 324
- 261
Hujakosea mkuuMwanamama mikeke haijawahi kumtupa mtu,soon utakuja na mada ya kumsema jamaa kuwa anajiona baada ya kupiga perfect twelve ya M-Bet
Hujakosea mkuuMwanamama mikeke haijawahi kumtupa mtu,soon utakuja na mada ya kumsema jamaa kuwa anajiona baada ya kupiga perfect twelve ya M-Bet
Mwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...
Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,
Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote
Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.
Wanaume nani aliewaloga????
Mkuu pambana uchukue mtajii..hahaha
Kwel kwenye miti hakuna wanjenzi aisee, mm mbona huwa sipati wanawake wa namna hii, wengi ninaopata ni wanawake wanaomiliki lipstick tuu, kwa hiyo ni wavizinga kwenda mbeleMwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...
Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,
Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote
Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.
Wanaume nani aliewaloga????
Hahahahhaha!Ukipasuliwa vzr lazima uhonge
Muongezee mtaji mwingne,kipenda roho hula nyama mbichiMwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...
Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,
Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote
Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.
Wanaume nani aliewaloga????