Wanaume wengi hawabebeki

Wanaume wengi hawabebeki

Wewe unajua kusoma kweli?
Narudia tena sio sahihi kugeneralize ujinga wa mtu mmoja kwa watu wote. Mwanamke mmoja akiwa anajiuza itakuwa ni sahihi kuhitimisha kwamba wanawake wote ni malaya? Tuache kufanya generalization.
 
Mtu kama mimi ukinihonga milion 2 tu baada ya miez 6 nakupa zawadi yenye thamn kuliko 2millions.

Upele huwaota wasio na kucha.
 
daah yani umeona uje kunitangaza hUku jamani?

si ilikuwa uje tu nyumbani pale pale na funguo inapokaa unapajua
 
Mwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...

Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,

Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote

Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.


Wanaume nani aliewaloga????
Naomba nijebunipe mm huo mtaji
 
umemtukana mpaka babu yako,, babako,, kakako,, mjombako na bashako.....
 
Aisee sio sahihi kugeneralize ujinga wa mtu mmoja kwa watu wote.mfano akija mtu akasema wanawake wote malaya nae atakuwa sahihi?
Huyu ndio bingwa wa kugeneralize, she will never be happy with any man, always negative with men Kwa sababu ya wapumbavu wachache aliokutana nao.
 
Huyu ndio bingwa wa kugeneralize, she will never be happy with any man, always negative with men Kwa sababu ya wapumbavu wachache aliokutana nao.
Mkuu nakubaliana na wewe yaani mimi namwita "MISS GENERALIZATION"
 
Mwanamama mikeke haijawahi kumtupa mtu,soon utakuja na mada ya kumsema jamaa kuwa anajiona baada ya kupiga perfect twelve ya M-Bet
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom