Narudia tena sio sahihi kugeneralize ujinga wa mtu mmoja kwa watu wote. Mwanamke mmoja akiwa anajiuza itakuwa ni sahihi kuhitimisha kwamba wanawake wote ni malaya? Tuache kufanya generalization.Wewe unajua kusoma kweli?
Naomba nijebunipe mm huo mtajiMwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...
Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,
Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote
Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.
Wanaume nani aliewaloga????
Kumbe msaadanilifanya tu msaada
Kweli...We mdharau tu, ngoja ashike pesa ndefu tuone kiburi yako.
Sawa muite na Miller aje apate ujumbe maridhawa


hahaha Ney mkorofi ww,asanteOkey maa mpe pole
Huyu ndio bingwa wa kugeneralize, she will never be happy with any man, always negative with men Kwa sababu ya wapumbavu wachache aliokutana nao.Aisee sio sahihi kugeneralize ujinga wa mtu mmoja kwa watu wote.mfano akija mtu akasema wanawake wote malaya nae atakuwa sahihi?
Mkuu nakubaliana na wewe yaani mimi namwita "MISS GENERALIZATION"Huyu ndio bingwa wa kugeneralize, she will never be happy with any man, always negative with men Kwa sababu ya wapumbavu wachache aliokutana nao.