Wanaume wengi hawabebeki

Wanaume wengi hawabebeki

Alivyo binti ndivyo alivyo Mama, inaonekana Baba yako akikaa na mama yako anapata cha moto
 
Mwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...

Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,

Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote

Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.


Wanaume nani aliewaloga????
Inategemea kuliko kulaumu... ongea naye inawezekana hakubet
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom