Acha kutudharau wanaume wote sisi wengine tumetulia kama bado kuna chenji imebaki tuwasiliane





Okey maa mpe poleYuko taabani sio kwa kubeba huko zege la leo,..
Acha kutudharau wanaume wote sisi wengine tumetulia kama bado kuna chenji imebaki tuwasiliane
mzee wa fursaa
yani wew haup sawa mkuuKritika aliguswa kuta nne hadi akatoa mtajiUkipasuliwa vzr lazima uhonge
Mkuu pambana uchukue mtajii..hahahaAgain, you are generalizing....! Nitafute basi, hautakuja kujuta maishani mwako.
Pole sana. Wewe kila unayekutana naye ana matatizo.Mwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...
Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,
Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote
Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.
Wanaume nani aliewaloga????
Atasikia my dear,.Okey maa mpe pole
Nipe mimi hiyo fursa wala hutojutia.Mwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...
Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,
Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote
Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.
Wanaume nani aliewaloga????
Hakuna jipya ambalo sijawai kufanyiwa interms of kusuguliwa na bado hujaniconvice kutoa hata mia yangu.Bado ujasuguliwa vizuri ipo siku utahonga tuuu
Bado ujafika kilele chamlima kimanjaro weweHakuna jipya ambalo sijawai kufanyiwa interms of kusuguliwa na bado hujaniconvice kutoa hata mia yangu.
Kwani nini maana ya kula kwa jasho na kuzaa kwa uchungu
Kusuguliwa my as*s

Hahaha alooo kazi kweli kweli. How ever si wanaume wote dada.Mwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...
Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,
Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote
Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.
Wanaume nani aliewaloga????