Wanaume wengi hawabebeki

Wanaume wengi hawabebeki

kuna bingwa wa mikopo JF nikuunganishe nae akusaidie mkopo wa kumpa mtaji huyo bwana akoo!!?..
 
Mwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...

Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,

Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote

Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.


Wanaume nani aliewaloga????
Pole sana. Wewe kila unayekutana naye ana matatizo.

Mara anaparamia. Hajui ku sex.
Mara anakula mtaji.
Pole sana.
 
Mwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...

Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,

Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote

Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.


Wanaume nani aliewaloga????
Nipe mimi hiyo fursa wala hutojutia.
 
Hakuna jipya ambalo sijawai kufanyiwa interms of kusuguliwa na bado hujaniconvice kutoa hata mia yangu.
Kwani nini maana ya kula kwa jasho na kuzaa kwa uchungu
Kusuguliwa my as*s
Bado ujafika kilele chamlima kimanjaro wewe
 
Mwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...

Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,

Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote

Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.


Wanaume nani aliewaloga????
Hahaha alooo kazi kweli kweli. How ever si wanaume wote dada.
Wako wanaume wachapa kazi ... ambao hawawezi fanyia pesa ujinga.
Pole lakin kuwa makin sometimes
 
ukome ulivyoona six packs ukajua umepata bonge la bwana lenye malengo kumbe marioo, hio ndo bongo Dar es salaam akikukuna tena vizuri uje na mrejesho
 
Wanaume tumerogwa na mume wa aliyewaroga wanawake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom