Ni kitu gani zaidi kinachokufanya upende wanene sana? kwani wewe ukiwa mwembamba huwezi kuwa na wembamba wenzako?embu funguka kidogoMimi ni mwanaume mwembamba kama sindano....ni kweli navutiwa na wanawake wakubwa/wanene,big round face,big booty,big boobs....but aflat stomach,kwa mwanamke tumbo au kitumbo kilichojitokeza ni dalili ya uvivu na kuto take care ....not a fan!
Inawezekana we' Kobello mkareeeeeeeeee!!Mimi ni mwanaume mwembamba kama sindano....ni kweli navutiwa na wanawake wakubwa/wanene,big round face,big booty,big boobs....but aflat stomach,kwa mwanamke tumbo au kitumbo kilichojitokeza ni dalili ya uvivu na kuto take care ....not a fan!
mbona sio mnene kihivo?Mke wa rais KagameView attachment 33194
Mbona simple.Kwenye shughuli hako unakokaita kembamba kanapotelea tu kwenye minofu mpaka huko kunako mashine kakiibuka bibiye roho kwatu.Yaaani utakuta kamtu kembamba hatar ilakanang'ang'ania mdada mwenye bonge la wowowow, mpaka ukimwangalia na kupata picha kunako shughuli sijui inakuwaje
We sawa tu na kwako nitapita tu heheheheheeee
Kwanza umjue Kagame mwenyewe yukoje halafu hiyo ni ya zamani hapo kaongezeka mara tatu ya unavyomuona.mbona sio mnene kihivo?
Uwiiiiiiiiii hahahahahaaaaaaatehetehe yaani sijui kama watu watacheka kama mie hapa, mpaka watu wanauliza kulikoni, lol hii kali majabali yanatembea????? aaaah kweli wewe ni kloroheheeh shantel bana! nipo bana nasoma maeksperiensi yenu. Infact wakati hii sred inaendelea nimechungulia dirishani kapita mkaka mwembamba kama toothpick lakini ameshikana na mdada ambae kama utamkuta gizani unaweza ukakisia kuwa hata majabali yanatembea samtaimu, namaanisha ni mnene kupita kiasi. kwavile nimeshasoma sred ya shantel hata skushangaa sana, nilismile tu
Mbona analia alikuwa msibani? ila sio mnene kivileMkapa na MkeweView attachment 33195View attachment 33196
Hhhahhaah...samahani bana!!Nwy binafsi sijawahi kunotice...nnaowajua naona lama miili yao inawiana kwa kiasi kikubwa!!na ww lizzy kwa kukosoa wenzako hujambo, mie kwa leo nimeona nilete hii coz kuna watu nawafahamu ni wembamba sana kupita kiasi ila wanawake wao ni wanene kupitiliza na huwaambii kitu, nikawa najiuliza maybe kuna connection yoyote na si mbaya kupata opinion za watu, toa basi mawazo yako kuhusu title ya hii thread lizzy
He! Shantel hivi umewahi kumuona mkapa live au ndo unamuona kwenye picha? Yaani mkapa sio mnene? Mkapa mnene mkewe sio sana si nimekwambia wanaume wembamba ndo wananenepesha wanawake?Mbona analia alikuwa msibani? ila sio mnene kivile
kweli kabisa, na nimemuona huyo mkewe pia sio mnene yuko fiti kwa hiyo chakula chote alikuwa anakula peke yake sio?? haya banaHe! Shantel hivi umewahi kumuona mkapa live au ndo unamuona kwenye picha? Yaani mkapa sio mnene? Mkapa mnene mkewe sio sana si nimekwambia wanaume wembamba ndo wananenepesha wanawake?
Wanaume wembamba wengi wanakuwa na mafurushi hatari sana, ndio maana wadda vibonge huwang'ang'nia sana, na wao hawataki wasichana wembamba sababu ya vimifupa vyao "pelvic" wakiwa na wembamba wenzao wataumizana mifupa tu kwa msuguano ndio maana wanajisikia vizuri wakiwa na mizigo mikubwa..mie pia nimeona wengi tu wa aina hiyo na wako na furaha na mapenzi yao