Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Mwanamme kujua kupika ni quality ya kusema ni mwanamme mzuri?
Ndo hapo mi nashangaa ongezea na kuosha vyombo pamoja na kupiga deki ndo tuseme ndo mwanaume mzuri?
Mwanamme kujua kupika ni quality ya kusema ni mwanamme mzuri?
TF keshaupwaka,nimepiga rollcall ya walio kwenye uzi huu hayumoMwehhhhh
Hivi kumbe na kuoa amekataa..
yawiiii Bishanga mambo ya plastic bag nayo hayajui
nlidhani kijana wenu huyo mmesha mfunza huko counter ya juu.
hahahaha hiyo helicopter tunaondoa tu blades haiendi mahali..
Mimi research yangu inaniambia wengi wao wamekuwa mabwabwa na wamefurahishwa sana na kauli ya kameruni.
Kinamama wanaharibu sana watoto wa kiume, tena naongelea kinamama wote mpaka wa hapa JF (ole wenu mbishe)
Naamini kuna ukweli lakini wengine wanasema ni watu waliodekezwa sana na kuharibiwa! Ndio huwa wanaitwa "watoto wa mama" a.k.a 'mama's boy'
Nyinyi si ndo mnawapaka ma poda watoto wa kiume? sasa mnategemea nini? halaf mara mnawapatia lolipop, sasa wakikuwa wanaona kufyonza lolipop kunaboa wanatafta jilolipop khaaaa! mnachangia sana kuifanya jinsia yetu haf kasti.Klorokwin naona umenywesha mapema leo.. NABISHA mpaka YESU atakaporudi..
Nimekupa like ili uje usome .. Halafu naiondoa ukisha soma au kunijibu.. teh teh teh
Nadhani watu tunaweza kukosa mitihani hivi hivi; hili siyo suala la kupika (it is just one element). Haya tuondoe huko kupika, na kukaa jikoni. Nadhani hoja inahusu uhusiano wa malezi na mapenzi ya mama kwa mtoto wa kiume. Hoja ambayo imedokezwa ni kuwa mtoto wa kiume aliyepewa mapenzi mazuri na malezi mazuri (hatuzungumzii kudekezwa kuliko n.k - kwani si sawa na malezi mazuri) anaweza kujenga mahusiano mazuri sana anapokuwa mtu mzima hususan mahusiano yake na wanawake.
Ni sawasawa na uhusiano uliopo kati ya malezi na mapenzi ya baba kwa mtoto wa kiume na wa kike na jinsi gani inaathiri malezi na maisha ya baadaye ya watoto. Kwa mfano, mtoto wa kike ambaye hakupewa malezi mazuri na kujengwa mahusiano mazuri na baba yake anaweza vipi kuhusiana na wanaume isipokuwa in a sexual way? Baba anayemjenga binti yake kuwa confident, independent, n.k n.k anaweza kujikuta anamlea mtoto wa kike kuwa mama mzuri kwa watoto wake na mke mzuri kwa mumewe.
Sasa watu wameng'ang'ania jiko na kupika na kusahau the bigger picture: MALEZI NA MAPENZI YA MAMA KWA MTOTO WA KIUME NA JINSI INAVYOMJENGA MTOTO WA KIUME KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA UWEZO MZURI WA KULEA.
Kamanda, kidume kikilelewa na mama ujue umeharibu jeshi, mara unaona jibaba la miaka 20 linakwenda chuo limefungiwa maandazi kwenye kikontena.Tupo pamoja kiongozi uswazi watoto wa design hiyo wanajulikana kama watoto wa mama
TF keshaupwaka,nimepiga rollcall ya walio kwenye uzi huu hayumo
Kamanda, kidume kikilelewa na mama ujue umeharibu jeshi, mara unaona jibaba la miaka 20 linakwenda chuo limefungiwa maandazi kwenye kikontena.
Tunaweza kufeli mtihani kama huyo mtunzi anatuchanganya. Mfano atuambie "birds (Example: Bat, Ziwarde and Njiwa) lay eggs. Please explain the relation between egg laying and family raising"....
Lazima kwanza tuanze na kuchambua kama Popo kweli ni ndege au la
Pili, linapokuja suala la kuchangia kwenye mjadala huru kama huu, hatulazimiki kujifunga sehemu moja kwa vile hatupo kwenye mtihani.
Dah! mwalim hapo red umenikumbusha wimbo wa mchiriku.
popo si ndeeege, mtafutieni kabiiila
mchana ana mateege , usiku hajui lala
nyumbani usimfuuuge, vyako vyote atakulaaa
ilooo popo ilooo lalewa lewaa, laning'inia leo limekosa pa kushikiaaa.
Dah! uswazi balaa
Kamanda, kidume kikilelewa na mama ujue umeharibu jeshi, mara unaona jibaba la miaka 20 linakwenda chuo limefungiwa maandazi kwenye kikontena.
Nyinyi si ndo mnawapaka ma poda watoto wa kiume? sasa mnategemea nini? halaf mara mnawapatia lolipop, sasa wakikuwa wanaona kufyonza lolipop kunaboa wanatafta jilolipop khaaaa! mnachangia sana kuifanya jinsia yetu haf kasti.
NB: Ukilegeza sauti na ukanilembulia na macho kidogo, nitabadilisha msimamo wangu na nitakubaliana na wewe
Yeleuwiiiii...Yesu Kristu Maria na YosefuMimi research yangu inaniambia wengi wao wamekuwa mabwabwa na wamefurahishwa sana na kauli ya kameruni.
Kinamama wanaharibu sana watoto wa kiume, tena naongelea kinamama wote mpaka wa hapa JF (ole wenu mbishe)
Sijajua mnaongelea mapishi yepi....:A S-coffee:
hehehe na mombasa wanasema sharti la kupika lazima uvae kanga. Toba!Hahitaji kufungiwa maandazi kwa sababu anajua kupika tayari :]
hehehe na mombasa wanasema sharti la kupika lazima uvae kanga. Toba!
Hahahha! Tulale woteNi kwamba hutaki au umekubali kwa hiari .?
Nadhani kuna wakati inabdi tukubaliane kuwa tuna ltifestyles za aina mbalimbali. Wnaume wanachange diapers,wanalisha watoto......
Wengine, wanapika etc.... kuna watu wapo na mashost wa kizungu, wengine wameolewa na hao wazungu. Pia kuna couples nyingi zipo just westernized. So, cooking might be a plus, depending on lifestyles