Wanaume wapo makini na jasho lao

Wanaume wapo makini na jasho lao

Hahaaa! Nimeipenda hii.
Ila naamini utawafikiria watoto kwanza kabla ya kufanya maamuzi magumu.
Utanivumilia tu kama si kwa upendo kwangu basi ni kuhurumia watoto
Hela kwa ajili yangu, wewe na watoto uibe wewe then uonewe huruma kwa mgongo wa watoto???!!
 
kuomba siyo aibu... lakini kuchomoa bila ruhusa au kuiba ni hulka mbaya na hatimaye kuishia segerea(jela)
 
Utaanza story za mafundi wanakudai and blah blah!
Bora nichukue hupo kesho nikitoka kazini salon,ukija jioni nang'aa utaelewa tu zilikoenda.
Mi ntafurahia nywele safi kwa pillow talk na watoto watashiba mng'ao
 
hata kama wabahili kwanini usiseme??? haaa haaa mie naziweka pesa zangu hapo kweupe zikipungua tupo wawili uko responsible au kama zina miguu zimetembea sawa...

We hujui kuna chuma uletee???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom