Wanaume wapo makini na jasho lao

Wanaume wapo makini na jasho lao

hahaha umeona eeeeh maana njaa ikimzidi hata vya jalalani ataokota lol

teeh, sio yeye Tu..hata wewe usipoangalia unakula makombo Tu, kwa hiyo moja kwa wiki itasaidia...huduma zingine za kindoa zitasubiri
 
Sawa jamani ila myonge myongen ila haki yake mpeni,Hatuwezi kujua situation iliyo mfanya dada aibe, jamani hata hivyo kuna wanaume ambao zao ni kula mzigo alafu mambo mengine utajua mwenyewe ......labda alikuwa na shida na akajua akimwomba huyo mpezi hatampa ikabidi aibe,,,

Hiyo ndo dawa ya wanaume bahiri ....umalize kugegedwa alafu utembee na miguu wakati waleti imejaa manoti....haiwezekani.


Exclude wadada ambao tabia zao ni za finger pocket...
 
Wengine acha tu yawakute maana wamezidi ubahili,hawajigusi hata!!!
Mtasachiwa mpaka akili ziwakae sawa kwa kupenda vya dezo!!!
 
teeh, sio yeye Tu..hata wewe usipoangalia unakula makombo Tu, kwa hiyo moja kwa wiki itasaidia...huduma zingine za kindoa zitasubiri

hahahaha makombo tena afu alivyo mpole anaanzaje kutegeka na hizo huduma nyingine sio zitasubiri afanye mwenyewe lol
 
Ila wanaume wengine wanaboa jamanii..wabahili sana...acha tu waendelee kusachiwa,,ila mie cnt do that...maana cjafunzwa hivoo kuomba omba na kuwa na mitaa isiyoeleweka

hata kama wabahili kwanini usiseme??? haaa haaa mie naziweka pesa zangu hapo kweupe zikipungua tupo wawili uko responsible au kama zina miguu zimetembea sawa...
 
Jamani wasichana wenzangu punguzeni kusachi na kuwaibia wenzi wenu hela kwenye wallet na mifuko ya suruali!

Shost angu ananiomba ushauri nawakati kalikoroga mwenyewe hata cha kumshauri nimekosa, MTU wake kambamba akichomoa hela kwenye wallet yake baada ya hapo jamaa katoa kibuti akisema amemvumilia amechoka.

Mmmh kazi ipo uaminifu zero na tamaaa ya pesa jamani, turidhike na kile tupewacho hata kama unasema mwenzio hafatilia lakini hakuna watu walio makini kama wanaume!
Sasa naanza kuona tanzania yenye wanawake makini inaanza kuja,This is impressive!

Ukiiba ukaona hatujauliza jua tunajua ila ushahidi ndo hatuna, just stay out of trouble ladies!

Saa ingine mnatuuliza kwanini tunawaangalia sana sometimes ni kwamba a lot of issues kichwani zina-coflicting about you ila hamjui tuu!
 
Sasa naanza kuona tanzania yenye wanawake makini inaanza kuja,This is impressive!

Ukiiba ukaona hatujauliza jua tunajua ila ushahidi ndo hatuna, just stay out of trouble ladies!

Saa ingine mnatuuliza kwanini tunawaangalia sana sometimes ni kwamba a lot of issues kichwani zina-coflicting about you ila hamjui tuu!


Hahahahahahaha unaangalia usiibiwe yeye anadhani umemzimikia.
 
Kuwa bahili uone!
Nani akung'arishie?
we iba as long as sikushiki.....pili kila ten inayopungua kwenye wallet yangu basi minus kwenye matumizi yako!

Kama nilikuwa nakupa labda laki for your shopping then na-minus ten on that month iliyopotea ukiendelea na mimi naendelea kupunguza mpaka siku utashangaa nakupa elfu 20,000 for shopping, full stop sina mda wa kukuuliza maana ukishindana na pumbavu hakuna utakachopata!
 
we iba as long as sikushiki.....pili kila ten inayopungua kwenye wallet yangu basi minus kwenye matumizi yako!

Kama nilikuwa nakupa labda laki for your shopping then na-minus ten on that month iliyopotea ukiendelea na mimi naendelea kupunguza mpaka siku utashangaa nakupa elfu 20,000 for shopping, full stop sina mda wa kukuuliza maana ukishindana na pumbavu hakuna utakachopata!

Umetumia nguvu nyingi sana best,natumai wezi wamekusikia.
 
Ya kuifunza ni mengi mamy hata kumuacha mpenzi mwizi siwezi jifunza????!!!!

Hahaaa! Nimeipenda hii.
Ila naamini utawafikiria watoto kwanza kabla ya kufanya maamuzi magumu.
Utanivumilia tu kama si kwa upendo kwangu basi ni kuhurumia watoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom