Wanaume wapo makini na jasho lao

Wanaume wapo makini na jasho lao

Sasa nani anasachi, maona wote mlochangia hampendi katabia ka udokozi..lol
 
Nampa vibao vichache, nampeleka polisi akasote kama siku nne hivi, then nakwenda kumtoa na kibuti simpi kwani hawez rudia tena, na atakuwa ana heshima na pesa zangu.
 
Huyu sio mke ni kibaka kama anataka hela atumie ushawishi wa kike apewe
 
Kachomoa kwnye hela za mawazo akome tabia chafu hiyo.................
raha ya mwanamke uhongwe tena upewe bila kuomba.
 
Hivi unaanzaje kusachi suruali na kuchomoa hela???? Duuuh kuwa na roho ngumu Sana. Hata Kama Shida mmmh!!!

Uanzaje kusachii:what: unanyata unanyata unageuka kulia alafu kushoto alafu kulia tena then unanyakua porochi kama ni suruale unageuza juu chini then unakung'uta ovaa. umeelewa sasa jinsi ya kusachi?:sly:
 
Mi hata awe amelewa chakari... Sina huo muda wa kuhangaika na pesa isiyo yangu..!!

Yani huyo sasa ndo mzuri unamsachi unamwacha mweupeeee na unaitoa mifuko kwa nje akizinduka tu anaacha pombe huoni utakuwa umemuhelp
 
Mm kuna dada mmoja alinifanyia hivyo sikumwambia kitu...siku aliyopata tatizo kuniomba hela nikamrushia nusu nkamwambia ongezea na zile ulichukua siku ile.

Hahahaaa patamu hapo ...halafu na yeye alisemaje... ?!
 
Nampa vibao vichache, nampeleka polisi akasote kama siku nne hivi, then nakwenda kumtoa na kibuti simpi kwani hawez rudia tena, na atakuwa ana heshima na pesa zangu.

Sasa akitoka huko lazma akupapase effectively kuanzia pesa za kwenye line za cm.ATM na chenchi lazma ukae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom