Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,760
hujawahi kusachi wakati unamfulia??
hahaha kwanza huwaga sifui am not his wife
nakula goodtime tu lol
hujawahi kusachi wakati unamfulia??
Kachomoa kwnye hela za mawazo akome tabia chafu hiyo.................
raha ya mwanamke uhongwe tena upewe bila kuomba.
Uanzaje kusachii:what: unanyata unanyata unageuka kulia alafu kushoto alafu kulia tena then unanyakua porochi kama ni suruale unageuza juu chini then unakung'uta ovaa. umeelewa sasa jinsi ya kusachi?:sly:
Hahahah darasa lako kila mwafunz lazma apate A duuuuh!!! Umetisha sanaa
inabid ukiwa unachomolewa ujifanyie tathmin we mwenyewe
hahaha kwanza huwaga sifui am not his wife
nakula goodtime tu lol
Huyo ni mwizi tu ana tabia ya udokozii
Aah wapi unaonekana sura yako imekaa kiwiziwizi.
Hivi sisi nani anatulipa lakini kwa kuwahudumia? Hii dunia haiko FEA.
Mwanamke na udokozi haipendezi kwanini hamuombi?
Mimi huyo nikimfuma simpigi wala simpeleki polisi naachana nae kisaikolojia kwa raha na amani tena muda napitisha baada ya tukio, mfano kadokoa leo mimi baada ya wiki mbili au mwezi ndio namuacha tena bila ya yeye kujua kosa la kuachwa
dunia iko fear kama utapata material hubby or woman kwa maana hautamhudumia milele mtakuwa mnagawana majukumu
katika mapenzi ili uone raha lazima utoe ili upokee,
usipopanda upendo na uaminifu huwezi kufika
Uongo...! Unafuaje, lols
Uanzaje kusachii:what: unanyata unanyata unageuka kulia alafu kushoto alafu kulia tena then unanyakua porochi kama ni suruale unageuza juu chini then unakung'uta ovaa. umeelewa sasa jinsi ya kusachi?:sly:
hahaa true akitaka huduma za mke aoe lol
You are a little tiger, Aren't you?
You know the trick.
...mmmmh, kwani wahitaji kutoa hizo huduma?
neddy bhana, kwani hujaanza kuzitoa? Ama wachagua huduma za kumpa?teeeeh!!