mwiru jojo
Senior Member
- Feb 13, 2018
- 152
- 143
Kwan Kuna wanaume wenye wapenzi wa kiumeee mkuuu
Yap maana unaweza sema ukweli ukajifunga bureView attachment 714045 ngoja tuamini kishingo upande
Ndio mkuu huoni unadhan ushoga niniKwan Kuna wanaume wenye wapenzi wa kiumeee mkuuu
Daaaaaaaaa kazi kwel kwelNdio mkuu huoni unadhan ushoga nini
Nafaudu kweli kweliKama kaweka ndumba halafu anakupenda na kukudhamini haina shida kwani anakunyanyasa! Kama la wewe faudu tuu penzi la sangoma
HahahaNafaudu kweli kweli
Mimi nataka niwe mchepuko Si unajua mbwembwe za kuchepuka vizuriKichwa nna mwanaume mimi yaan nikipita nae sehemu lazima wanawake wageuke
Si mlikuwaga mnaniangalia tu mwenzenu kachukua mazima
Hapa hata wazo la kuchepuka sina sinaMimi nataka niwe mchepuko Si unajua mbwembwe za kuchepuka vizuri
HeheheWao,kumbuka hayo hatakaposhindwa kukufikisha sikuzijazo
hapo sawa sawaYap maana unaweza sema ukweli ukajifunga bure
HongeraView attachment 713994 kwa mim na Demiss raha tunazopata sijui tu japo yeye sijajua kama ni kweli na mshana wake ila kupendwa raha nyie hasa mwanaume anapojitambua hamuwezi amini nishamsahau hata ulimwengu kuna watu wanajua kupiku aisee
We mwanaume wewe hizi raha unazonipa ulikuwa wapi zamani
Natamani hadi wanyama niwaambie jinsi navyopendwa mie
Demi hatutakupa liftKweli simuamini, hata baiskeli hawezi kukununulia..teh
AsanteHongera
Mtanipa tuDemi hatutakupa lift
Unatjua wasukuma vizuriMtanipa tu
Teh..sana tuUnatjua wasukuma vizuri
omushule waitu!Najua wengi tu sio wewe peke yako nikikuonesha pm zangu utakimbiaa,mi mwanamke kutamaniwa lazima halaf bebi akiona anafurah kweli anajua mkewe mzuri ndio maana napendwaa basi ndio anazidisha kunipa raha,halaf ni kati ya yale makabila yanayojua kuisonga k mpaka ikojoe kama bata