Wanaume wanawaonea wivu wanawake

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,402
Kwanini wanamme wa Tanzania wanawaona wivu wanawake? Wakiona mwanamke mzuri na anampendamwanamke but anajua awezi kumpata anaishia kumchukia bila sababu na kumzulia maneno ya uongo anatangaza kwa watu mwanamke malaya changudoa huku anaumia moyoni amemkosa, haishi kuangalia last seen ya whatsapp au profile ya facebook kila siku.

Kwenye simu yake amedownload pcha za mwanamke anaemwita malaya kwa wivu wake.Aibu mwaname kumuonea wivu mwanamke asiekuusu hata kama amekupata vipi.

Wanaume wa Tanzania fanyeni kazi acheni kushindana na wanawake na kuwaonea wivu mtakufa masikini.

Mwanamke na mwanamke usishindane nae utalala porini uliwe na sImba ndugu zako wakazika mifupa.
 
Last edited by a moderator:

sema mwanaume wako ndiyo kamufanyia hivyo.usijumlishe na waume wote.



swissme
 

Wewe Dada Sijui Unamatatizo Gani Na Wanaume! Mimi Nahisi Kuna Mapungufu Flani Unayo Unatafuta Chaka La Kujificha
 
Ni wanaume wachache mno ambao bado wanaumizwa na mapenzi mpaka sasa...Wanaume ni wengi ila wanawake wanakaribia mara mbili kwa wingi ukilinganisha na wanaume kwa hiyo ukiona hamuendani unapisha kiti unakalia kingine na maisha yanaenda mbele.....Ila hata namna ya uandishi wako unaonekana bado upo kwenye ile age tata...
 
una hasira sana na wanaume tangu siku nilivyokufumua marinda, mi nilikwambia tutumie mafuta wewe ooh nifanye hivyohivyo
 

Maa !!
 
Una tatizo kuubwa la kisaikolojia. Nenda kwa Gwajima akutoe hilo sukule. Mwanaume mmoja tu amekuacha unajumuisha wanaume wooote tena Tz?? Ama kweli, la kuvunda halina ubani.
Sikujui lakini hata ka ninaukiwa wa jela, hunifai
 
 
Wanaume watakulia Sana Na kukuacha ...hizo zote mbinu za mawindo ...we unataka akutangazie kwamba we si Malaya ili apate ushindani mkumbwa?? Maana wanawake wengne mkiaanza kupigiwa miluzi mingi mnaanza kuringa.. .mwanaume ataendelea kuwa mwanaume tu
 
Ok, Wala Usipate Tabu Dada Kama Vipi Nenda KENYA, UGANDA Nk. Nahisi Huko Unaweza Kuwapata Wanaume Wenye Tabia Uzitakazo Wewe. Nadhani Hii Inaweza kua Njia Sahihi Kabisa Ya Kumaliza Tatizo Lako.
 
Una mwandiko mbaya,,sijui una haraka sana. Ebu ungetulia kwanza ukaandika vizuri...
 

Acha fics hizo dogo. Hao wanaume unaozungumzia sio watanzania, ni wahindi. Tunapata taabu sana ya kuchagua mademu wanaume wa kitanzania kwa namna Mungu alivyotuzawadia wakutosha as possible as he can, sasa mwanaume mzima uhangaike na jimama wa kushoto kama wewe? Acha kujipaosha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…