Wanaume wanaposhikwa na tamaa

Wanaume wanaposhikwa na tamaa

Mimi nauliza tu.

Kwa nini hawa mabinti(house girl) wa kulea huwa wananawiri na kupendeza sana ikifika muda fulani hadi kuleta vurugu hizi?

Tukitambua chanzo na tatizo tutalipatia ufumbuzi.
Mkuu anajua yuko kwao, hana stress ya bills wala kesho atakuwa nini. Akiunguza gauni akiwa anapiga pasi anasema tu mama samahani haelewi gauni ulinilininua kali na nusu.
 
Lakin si kuoa katoto ulikokalea kama mwanao

Tatizo lako unaangalia upande mmoja wa shilingi kumbe ina pande mbili. Jiulize, wewe kama mama mwenye nyumba; ulikuwa makini kuhusu nyumba yako?? Wewe umekaona kale ulikoletewa kakiwa hakijui hata kujikausha mkojo vizuri, 14, kamekomaa hadi sasa kanaanza kukuomba sidiria yako kubwa, pili kameanza kubishana na wewe. Na hii ndio tabia ya wanawake wote duniani. Akiisha lala na mwanamume huwa anamwona yule mwenzake hapo mbele yake kama wamelingana. Ukaendelea kukachekea.
Wadhani ni kamchezo ka siku moja tu ndio kalishiba maharage? No, ni mchezo wa siku nyingi tu. Ulikuwa wapi?? Ulipoanza kuona mumeo hakusumbui sumbui tena usiku ulidhani kazeeka??
Lawama ziwe pande mbili. Mama hakuwa makini
 
Yaani kweli upate muda wa kuchat hapa wa kazi wa kupika kulea na wa kujirembaremba?

Nitakusifu kwa hili.
Nimecheka!umefikiria mbali
Enzi hizo nitaacha..humu nitakuwa naingia mara nne kwa mwezi yani weekend tu jumapili
 
Nimecheka!umefikiria mbali
Enzi hizo nitaacha..humu nitakuwa naingia mara nne kwa mwezi yani weekend tu jumapili
Aaah wapi... Ila inategemea na maisha mtakayoishi..

Ila nyumbni uishi wewe na hubby tu na wote wafanyakazi itabidi usiwe nyoronyoro.
 
Aaah wapi... Ila inategemea na maisha mtakayoishi..

Ila nyumbni uishi wewe na hubby tu na wote wafanyakazi itabidi usiwe nyoronyoro.
Mi naamini hata yeye atakuwa mshkaji tu..labda atakuwa anaosha vyombo huku mi nadeki😛😛😛
 
Mi naamini hata yeye atakuwa mshkaji tu..labda atakuwa anaosha vyombo huku mi nadeki😛😛😛
Hahahaha
Usijipe matumaini saana kwa sisi....

Mimi mwenyewe mshikji ila sio kila kazi nafanya.. na inategemea nimeamkaje.
 
Wanawake mkishapata vielimu vyenu mnajisahau san....
Hii yote inakuja pale mwanamke anapokuwa mjuaji na wanaume wengine ufanya kukomoa tu.
 
Hahahaha
Usijipe matumaini saana kwa sisi....

Mimi mwenyewe mshikji ila sio kila kazi nafanya.. na inategemea nimeamkaje.
Ila kivyovyote vile nitapambana na hali yangu...wadada wa kazi hapana asee
 
Ila kivyovyote vile nitapambana na hali yangu...wadada wa kazi hapana asee
All the best... Unipe kadi basi mama napenda kurushwa roho mtakapokuwa mnalishana keki
 
kama kanumba na lulu,

kanumba amemlea lulu enzi hizo katoto kadogo, wameigiza nae kwenye maigizo ya ITV baadae wakaingia kwenye movies..

mashalaah mungu hakosei, sijui alimuumba wikiend dah lulu akaanza kumeremeta hivi majuzi, kanumba naye mate yakamtoka,akashindwa kujizuia akatembea naye na wakawa wapenzi.
 
Wanayaweza kweli kweli,mi ndio maana haya masuala ya wadada wa kazi nitajitahidi(sijui kama nitaweza lakini) kutomueka kwangu..ntapambana na kazi zangu na mume wangu tu

Mwanaume sio wa kumuamini sana asee
Kilichipo wewe kama mwanamke unatakiwa kujiamini tuu,kwani hata usimleta house girl nyumbani nikitaka kuchepuka nachepuka tuu.
 
Back
Top Bottom