hiyo hapana imezidi na kupigiana simu mida ya kutoka job, jamani watu wananid privacy lol, asubuhi ikitokea hata akikukuta kituoni atakupik c lazima umpigie mkono ka trafik bana,
MUMUWACHE AENJOI NA GARI YAKE, GARI YENYEWE YA MKOPO BADO UCHUNGU WA KUKATWA HAUJAISHA
WANAUME BANA, Mna yenu nyie c bure angekua muomba lift mdada hata mwaka mzima ukimpa na tena ukimfata hadi mlangoni na kumrudisha , kwa kua vidume wenzio umeona haina maslah, ila we mmmbbbbaaaaayyyyyaaaaaaaaaa
Niko hapa mpenzi na mke wa ujana wangu. Eti kuna mtu anataka lifti ya Tukutuku yetu?
uko na my waifu wako mnashindwa hata kuja**a..inahuuu.....
Asprin uko wapi? nimekumiss
Napata shida sana na hili. Wote tunafahamu kwamba jiji la Salidalama lina tatizo la usafiri na pengine kumsaidia mtu ni kitu cha kawaida kama anakwenda kazini. Lakini cha ajabu, kuna baadhi ya wanaume ambao wanafanya kazi. Kila siku unamkuta mtu amesimama mbali na kituo cha daladala utafikiri anasubiri gari la ofsini kwao kumbe sio. Kila akipita mtu unakuta kazi ni kuchungulia kwenye vioo vya gari na kupiga mkono kama trafik. Ukiwa job anapiga unatoka saa ngapi ili apande tena wakati wa kurudi home.
Jamani kwa nini wanaume tunajifedhehesha hivi? Mtu anakupa lift maramoja na pale ambapo kweli kuna shida ya usafiri na wewe, jaribu kukaa hapo kwenye kituo cha mabasi na wenzako. Wanaume tusipende sana kudandia lift maana ni fedheha. Mambo haya yalikuwa kwa wanawake zamani lakini siku hizi yamehamia kwa wanaume!
Najua wengi wataponda lakini ukweli ndo huo! Mi na mke wangu hatukuwahi kudandia lift ya mtu, tulikwa sisi na daladala kila siku! Hata kama gari imeleta tatizo tulikuwa tunawahi kupanda daladala. Iweje wasio na magari wapende sana lift utafikiri shida hawana?
Hii kitu inasumbua sana aisee...unakutaunapanga mipango na wife mara unaona jamaa kasimama katikati ya barabara...... ilinifanya ninunue pick-up.....na huku kwetu kulivyo na vumbi walikomaje...sasa ivi mimi ndo nawaomba wapakie...wakiniona nakuja wanajificha ili nisiwabebe ..teheteheh. na wengine wanajifanya wanaongea na simu..
Hii kitu inasumbua sana aisee...unakutaunapanga mipango na wife mara unaona jamaa kasimama katikati ya barabara...... ilinifanya ninunue pick-up.....na huku kwetu kulivyo na vumbi walikomaje...sasa ivi mimi ndo nawaomba wapakie...wakiniona nakuja wanajificha ili nisiwabebe ..teheteheh. na wengine wanajifanya wanaongea na simu..
Napata shida sana na hili. Wote tunafahamu kwamba jiji la Salidalama lina tatizo la usafiri na pengine kumsaidia mtu ni kitu cha kawaida kama anakwenda kazini. Lakini cha ajabu, kuna baadhi ya wanaume ambao wanafanya kazi. Kila siku unamkuta mtu amesimama mbali na kituo cha daladala utafikiri anasubiri gari la ofsini kwao kumbe sio. Kila akipita mtu unakuta kazi ni kuchungulia kwenye vioo vya gari na kupiga mkono kama trafik. Ukiwa job anapiga unatoka saa ngapi ili apande tena wakati wa kurudi home.
Jamani kwa nini wanaume tunajifedhehesha hivi? Mtu anakupa lift maramoja na pale ambapo kweli kuna shida ya usafiri na wewe, jaribu kukaa hapo kwenye kituo cha mabasi na wenzako. Wanaume tusipende sana kudandia lift maana ni fedheha. Mambo haya yalikuwa kwa wanawake zamani lakini siku hizi yamehamia kwa wanaume!
Najua wengi wataponda lakini ukweli ndo huo! Mi na mke wangu hatukuwahi kudandia lift ya mtu, tulikwa sisi na daladala kila siku! Hata kama gari imeleta tatizo tulikuwa tunawahi kupanda daladala. Iweje wasio na magari wapende sana lift utafikiri shida hawana?
neno hilo......
leo acha nikuunge mkono...
uko na my waifu wako mnashindwa hata kuja**a..inahuuu.....
inaeleweka kumpa lifti myu asubuhi lakini huyo hadi jioni anakupigia kukuuliza lifti amepitiliza, hajui mjini kila mtu ana mipango yake? huo ndo muda wa kwenda kwenye mishe mishe binafsi...aache...
anyway mkiwa mnatumia tz 11 kama sie hutosumbuka na lifti, maana lifti ni miguu yake tu...
Asprin uko wapi? nimekumiss
Napata shida sana na hili. Wote tunafahamu kwamba jiji la Salidalama lina tatizo la usafiri na pengine kumsaidia mtu ni kitu cha kawaida kama anakwenda kazini. Lakini cha ajabu, kuna baadhi ya wanaume ambao wanafanya kazi. Kila siku unamkuta mtu amesimama mbali na kituo cha daladala utafikiri anasubiri gari la ofsini kwao kumbe sio. Kila akipita mtu unakuta kazi ni kuchungulia kwenye vioo vya gari na kupiga mkono kama trafik. Ukiwa job anapiga unatoka saa ngapi ili apande tena wakati wa kurudi home.
Jamani kwa nini wanaume tunajifedhehesha hivi? Mtu anakupa lift maramoja na pale ambapo kweli kuna shida ya usafiri na wewe, jaribu kukaa hapo kwenye kituo cha mabasi na wenzako. Wanaume tusipende sana kudandia lift maana ni fedheha. Mambo haya yalikuwa kwa wanawake zamani lakini siku hizi yamehamia kwa wanaume!
Najua wengi wataponda lakini ukweli ndo huo! Mi na mke wangu hatukuwahi kudandia lift ya mtu, tulikwa sisi na daladala kila siku! Hata kama gari imeleta tatizo tulikuwa tunawahi kupanda daladala. Iweje wasio na magari wapende sana lift utafikiri shida hawana?
Mleta mada hivi vitu vinapatikana tu ndugu yangu,tunavitumia,tunaviacha, mwenzako kama hana msaidie.
Ambao hatuna magari tutakoma,ila mkumbuke hivi ni vitu vya kupita tu,hao unaowadharau ndiyo watakao toa msaada pindi ukipata matatizo.Haya mkuu maisha mema na gari zenu!
Hongera kwa kununua gari
Niko hapa mpenzi na mke wa ujana wangu. Eti kuna mtu anataka lifti ya Tukutuku yetu?
Afu eti my love, hiyo kuja**a ulikuwa unamaanisha kuachia naniliyu sio..... Hahahahah wenzangu wameoa wake mi nimeoa mke wa ujana. LOL
nimeupenda uzi huu kwa sababu ya kushangaza kidogo ,actually kwangu ni kubwa mno!
NIMEPENDA VILE UNAMZUNGUMZIA MKEO HUMU!
love it brother keep it UP!yatakaa sawa tu!hayo ya lifti mi wala hayajanishughulisha!
hebu pitia tena post zako kweny thread hii!
thank yu very much!
Umeona eh? Ndo maana sitaacha kukuoa kila siku.hubby pale penye nyota ni kupumua kinyume nyume.......
Halafu jioni tusimpe lifti jirani, tutashindwa hata kukumbatiana kwenye tukutuku yetu.........
Halafu hubby si unaona faida ya kuoa mke wa ujana wako? Tupo strong..........lifti za majirani hazitusumbui
Kwani mitaa hiyo hakuna treni ya mwakyembe!!??