Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,272
Hapa ni jehanamu usithubutuKwa haya mabomu ya nagasaki na Hiroshima acha tulie tuu.....
Hapa ni jehanamu usithubutuKwa haya mabomu ya nagasaki na Hiroshima acha tulie tuu.....
Kweli sasa akichelewa kumaliza si anakupotezea muda wa kuhudumia wengine pia mapato yanapungua.Na usifikirie ile Milio ni mahaba unamuumiza pengine unazomewa umalize tuu haraka...
Umeona ee bi shosteeMilio ya Nokianimecheka hadi basi, wanataka kutwaanga tu kuweka vocha hawataki, mwanaume mashine wimbo tu Domo alishasema wapeleke VETA uhalisia mwanaume pochi mtaani.
Kweli kabisaaaa mkuuHapa ni jehanamu usithubutu
Nini? 10000 ya enz za kikwete au za jpm?
You get what you work for not What you wish for 
Imekula kwako... Hata usipolia kweli kwani yeye kakutaka ulie? Shida ya Mwanaume ni kushusha mzigo, anasepa zake, we mwenyewe unajisumbua kulia lia... "Wanaume mbele kwa mbeleee, umekubali mwenyewe, utajijua mwenyewe, acha uisome namba eeeeeeh, Wanaume mbele kwa mbeleee"....
You get what you work for not What you wish for 
Acha tu asilimia kubwa uzuri wa dukani wakipewa pesa zinaishia kwenye mikorogo hovyo sana
hii avatar yako hii...emb kuja kwanza pm tujadili vizuri.Wanaume mnasahau kua maandiko yanasema mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaune Kazi yake ni kuhangaika kumtafutia mwanamke.. Hii Milio ya Nokia imezidi kwa wanaume wa Leo kiukweli unakuta mwanaume anamhudumia mwanamke uku analia lia tuu na wengine kushinda mitandaoni kuponda tuu hivi mmesahau starehe gharama? Na ukitaka dem Mkali ujue kuhudumia pia kama huwezi kuhudumia madem wazuri utaishia kuwaaita Shem tuu... Hivi mnavyokua faragha na kutupindua pindua mnadhani ni nini? Na pia mjue si kila unapoambiwa unapendwa unapendwa kweli inapendwa pochi... Na usifikirie ile Milio ni mahaba unamuumiza pengine unazomewa umalize tuu haraka...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe!Mi nashaangaa sana wanawake kuhisi wanatukomoa yaan mngejua,...!!!, wanaume tuna busara sana ila ndo ivo uself centered wenu mnahisi mnatutesaaaaa,... Wakati sisi ni tofauti
Mi mwanamke akifake kulia namjua...anayelilia mashine namjua....ndiyo maana sizimagi taaWanaume mnasahau kua maandiko yanasema mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaune Kazi yake ni kuhangaika kumtafutia mwanamke.. Hii Milio ya Nokia imezidi kwa wanaume wa Leo kiukweli unakuta mwanaume anamhudumia mwanamke uku analia lia tuu na wengine kushinda mitandaoni kuponda tuu hivi mmesahau starehe gharama? Na ukitaka dem Mkali ujue kuhudumia pia kama huwezi kuhudumia madem wazuri utaishia kuwaaita Shem tuu... Hivi mnavyokua faragha na kutupindua pindua mnadhani ni nini? Na pia mjue si kila unapoambiwa unapendwa unapendwa kweli inapendwa pochi... Na usifikirie ile Milio ni mahaba unamuumiza pengine unazomewa umalize tuu haraka...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama mnapenda pochi si mnunue tu kuna za 2000-10000 unanunua unaweka kwenye mkoba wako unaturingishia....kuendekeza dhiki tu,kuuza vitumbua mnaona aibu acheni K zenu zipinduliwe pinduliwe kama kurasa za gazeti
Hivi aliyekwambia mwanaume Punda nani???Wanaume mnasahau kua maandiko yanasema mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaune kazi yake ni kuhangaika kumtafutia mwanamke.
Hii milio ya Nokia imezidi kwa wanaume wa Leo kiukweli unakuta mwanaume anamhudumia mwanamke uku analia lia tuu na wengine kushinda mitandaoni kuponda tuu hivi mmesahau starehe gharama?
Na ukitaka msichana mkali ujue kuhudumia pia kama huwezi kuhudumia msichana wazuri utaishia kuwaaita Shem tuu.
Hivi mnavyokua faragha na kutupindua pindua mnadhani ni nini? Na pia mjue si kila unapoambiwa unapendwa unapendwa kweli inapendwa pochi. Na usifikirie ile milio ni mahaba unamuumiza pengine unazomewa umalize tuu haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app