Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,126
- 62,128
Maisha ya kuigiza kwenye TV yanawafanya vijana kuwa maisha mazuri si lazima upasue mawe au kufanya kazi ngumu n.k,matokeo yake wanakimbilia kwenye mteremko.
Jitumeni tu lakini sio kuwa marioo eeishzeshchriss kwani mario wameanza leo?
Hii dunia ni ya kibepari. Kila mtu anafanya anachoweza. Sasa kama Nimepata Suger mom kanipenda na ana pesa nikatae?
Anyway, kazi watu wanafanya. Huko kujituma anakotaka mtoa mada sijui ni kupi. Hakuna mtu hajitumi sehemu ambako hakuna pesa
Ni vile tuu nina Kazi yangu na maisha yanaendaJitumeni tu lakini sio kuwa marioo eeish
Habari wakuu,
Twende kwenye mada...
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...
Utakuta vijana wa kiume hawajitumi katika kufanya kazi kwa bidii ili wajiingizie vipato na badala yake wamekuwa wakijiingiza katika maisha ya ajabu kama kudanga kwa majimama ili wawezeshwe kimaisha.
Wengine wao wanajigeuza kuwa mashoga ili tu wajirahisishe wapate pesa kirahisi.
Yani sikuhizi vijana wa kiume wanafanya mambo ya aibu ili wapate pesa.
Wamesahau kuwa maandiko yanasema "mwanaume atakula kwa jasho".
Ni aibu maana mtoto wa kiume kushindwa kusaka pesa na kusubiri kuletewa na mwanammke.
Nawaza tu miaka ijayo tutakuwa na wanaume wa shoka kweli..
Ni hayo tu...
Karibuni...
Mwanaume mjamzito[emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji3]Habari wakuu,
Twende kwenye mada...
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...
Utakuta vijana wa kiume hawajitumi katika kufanya kazi kwa bidii ili wajiingizie vipato na badala yake wamekuwa wakijiingiza katika maisha ya ajabu kama kudanga kwa majimama ili wawezeshwe kimaisha.
Wengine wao wanajigeuza kuwa mashoga ili tu wajirahisishe wapate pesa kirahisi.
Yani sikuhizi vijana wa kiume wanafanya mambo ya aibu ili wapate pesa.
Wamesahau kuwa maandiko yanasema "mwanaume atakula kwa jasho".
Ni aibu maana mtoto wa kiume kushindwa kusaka pesa na kusubiri kuletewa na mwanammke.
Nawaza tu miaka ijayo tutakuwa na wanaume wa shoka kweli..
Ni hayo tu...
Karibuni...
Jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena hao marioo nawaona wana bahati sana. Hata mm ningepata nafasi ningekuwa. Sasa kama unapata mwanamke anapesa anakulea, kazi yangu mimi ni kula na kupiga mashine, nitafute nini kingine.Ni vile tuu nina Kazi yangu na maisha yanaenda
We kijana...unasemaje?... acha kushusha hadhi ya vidume wanaojielewa...Tena hao marioo nawaona wana bahati sana. Hata mm ningepata nafasi ningekuwa. Sasa kama unapata mwanamke anapesa anakulea, kazi yangu mimi ni kula na kupiga mashine, nitafute nini kingine.Ni vile tuu nina Kazi yangu na maisha yanaenda
Asante kwa picha mkuu...Mwanaume mjamzito[emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1149553
We kijana...unasemaje?... acha kushusha hadhi ya vidume wanaojielewa...
Ninyi ndio walezi wa hao wanaume,Habari wakuu,
Twende kwenye mada...
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...
Utakuta vijana wa kiume hawajitumi katika kufanya kazi kwa bidii ili wajiingizie vipato na badala yake wamekuwa wakijiingiza katika maisha ya ajabu kama kudanga kwa majimama ili wawezeshwe kimaisha.
Wengine wao wanajigeuza kuwa mashoga ili tu wajirahisishe wapate pesa kirahisi.
Yani sikuhizi vijana wa kiume wanafanya mambo ya aibu ili wapate pesa.
Wamesahau kuwa maandiko yanasema "mwanaume atakula kwa jasho".
Ni aibu maana mtoto wa kiume kushindwa kusaka pesa na kusubiri kuletewa na mwanammke.
Nawaza tu miaka ijayo tutakuwa na wanaume wa shoka kweli..
Ni hayo tu...
Karibuni...
uko sahihi..........na sisi ni wanaume tuu...Siungi mkono swala la mashoga lakini inatakiwa ujue mazingira ya kutafuta pesa yamebadilka kutokana na tecknolojia kukua kadiri siku zinavyozidi kwend hutoana watu wakiendelea kufanya kazi ngumu kama kubeba mizigo mizito na bado watu utaona wanaishi maisha mazuri